OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,690
Kwa uchache sana ili nisiwachoshe.
1. CCM ni chama cha hovyo, hakizingatii Katiba ya nchi wala sheria. Mambo yanafanywa kwa utashi zaidi. Utasikia Rais katoa bilioni 2. Inatia uchungu sana.
2. CCM ni chama cha hovyo hata mambo yaliyopo kwenye katiba hii mtumba hawataki kuzingatia. Mtu anapiga marufuku shughuli za siasa zilizopo kikatiba. Halafu mamlama husika inasema tukae kujadili. Unajadili nini.
3. CCM ni chama cha hovyo kilichoshindwa kuwaletea watu maendeleo. Wanafikiria zaidi kutawala kuliko kuwaletea watu maendeleo. Leo unasikia 2025 tunaenda na Samia. Hovyo kabisa.
Kwa hiyo kama katiba haitakiondoa chama hiki cha hovyo basi hiyo katiba haina maana. Hiyo katiba itakuwa sawa na kijarida tu.
Mtakuwa na katiba nzuri, sheria nzuri lakini jamaa hawataifata wana katiba zao vichwani.
Asalam Aleikum
1. CCM ni chama cha hovyo, hakizingatii Katiba ya nchi wala sheria. Mambo yanafanywa kwa utashi zaidi. Utasikia Rais katoa bilioni 2. Inatia uchungu sana.
2. CCM ni chama cha hovyo hata mambo yaliyopo kwenye katiba hii mtumba hawataki kuzingatia. Mtu anapiga marufuku shughuli za siasa zilizopo kikatiba. Halafu mamlama husika inasema tukae kujadili. Unajadili nini.
3. CCM ni chama cha hovyo kilichoshindwa kuwaletea watu maendeleo. Wanafikiria zaidi kutawala kuliko kuwaletea watu maendeleo. Leo unasikia 2025 tunaenda na Samia. Hovyo kabisa.
Kwa hiyo kama katiba haitakiondoa chama hiki cha hovyo basi hiyo katiba haina maana. Hiyo katiba itakuwa sawa na kijarida tu.
Mtakuwa na katiba nzuri, sheria nzuri lakini jamaa hawataifata wana katiba zao vichwani.
Asalam Aleikum