Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,567
- 217,911
Visingizio vyovyote vya kuikataa Katiba mpya kutoka kwa watawala , haviwezi kuwa na mashiko yoyote , wanaikumbatia iliyopo kwa vile inawapa uhuru wa kufanya wapendavyo.
Njia pekee ambayo ni rahisi na halali kwa watanzania kupata katiba mpya ni kuidai kwa udi na uvumba , hamtaipata kwa njia za Mdebwedo , na wala hakuna kiongozi yeyote aliyewahi kuzuia nguvu ya umma ambayo kiuhalisia ni nguvu ya Mungu mwenyewe , katika nchi zote za kidikteta marekebisho yoyote ya katiba hufanyika baada ya vuguvugu fulani , mfano halisi ni jamhuri ya watu wa Kenya.
Jambo hili wasiachiwe Chadema na wanaharakati pekee , wananchi wote unganeni , na wala msiogope , mtashinda tu .
Njia pekee ambayo ni rahisi na halali kwa watanzania kupata katiba mpya ni kuidai kwa udi na uvumba , hamtaipata kwa njia za Mdebwedo , na wala hakuna kiongozi yeyote aliyewahi kuzuia nguvu ya umma ambayo kiuhalisia ni nguvu ya Mungu mwenyewe , katika nchi zote za kidikteta marekebisho yoyote ya katiba hufanyika baada ya vuguvugu fulani , mfano halisi ni jamhuri ya watu wa Kenya.
Jambo hili wasiachiwe Chadema na wanaharakati pekee , wananchi wote unganeni , na wala msiogope , mtashinda tu .