Katiba Mpya au NEC mpya?

Chapakazi

JF-Expert Member
Apr 19, 2009
2,874
310
Baada ya kusikiliza mahojiano ya Dr Slaa juu ya sababu za Chadema kutoka bungeni, naona moja ya madai yao ni Katiba mpya. Sawa...ni kweli tunahitaji katiba mpya, lakini mimi najiuliza ivi cha muhimu zaidi kwa sasa sio kupata NEC mpya zaidi ya Katiba. Hiyo Katiba mpya inamgusa vipi mwananchi kwa sasa. Nadhani mwiba kwa wananchi kwa sasa ni NEC na uwezo wake wa kuhujumu matokeo. Na hili ndilo lingetakiwa kupewa priority.
Wadau mnaonaje?
 
Baada ya kusikiliza mahojiano ya Dr Slaa juu ya sababu za Chadema kutoka bungeni, naona moja ya madai yao ni Katiba mpya. Sawa...ni kweli tunahitaji katiba mpya, lakini mimi najiuliza ivi cha muhimu zaidi kwa sasa sio kupata NEC mpya zaidi ya Katiba. Hiyo Katiba mpya inamgusa vipi mwananchi kwa sasa. Nadhani mwiba kwa wananchi kwa sasa ni NEC na uwezo wake wa kuhujumu matokeo. Na hili ndilo lingetakiwa kupewa priority.
Wadau mnaonaje?

Katiba ndiyo inayoeleza NEC ifanyeje kazi. Hivyo uundaji wa NEC ni kwa mujibu wa sheria na katiba ndiyo sheria mama. Ukibadilisha NEC bila katiba utakuwa umefanya kazi nusu. Katiba ndiyo kitu cha msingi na ndiyo marejeo katika utungaji wa sheria zingine.
 
baada ya kusikiliza mahojiano ya dr slaa juu ya sababu za chadema kutoka bungeni, naona moja ya madai yao ni katiba mpya. Sawa...ni kweli tunahitaji katiba mpya, lakini mimi najiuliza ivi cha muhimu zaidi kwa sasa sio kupata nec mpya zaidi ya katiba. Hiyo katiba mpya inamgusa vipi mwananchi kwa sasa. Nadhani mwiba kwa wananchi kwa sasa ni nec na uwezo wake wa kuhujumu matokeo. Na hili ndilo lingetakiwa kupewa priority.
Wadau mnaonaje?

katiba ni kila kitu kwa mwananchi. Katiba ni muongozo so kukiwa na katiba bora ambayo imeangalia kila eneo na nec ikaguswa ikawa huru bac mwisho wa michezo yote na utata unaotokea. KatibaNI muhimu SANA NDIO DSHERIA MAMA
 
huwezi kubadilisha duties za NEC bila kugusa misingi ya sheria ilinayoiweka NEC ndani ya katiba.... na NEC ili iwe huru inatakiwa isichaguliwe na rais kwa mujibu wa katiba.... upo

Electoral Commission
74.-(1) There shall be an Electoral Commission of the
United Republic which shall consist of following members to be
appointed by the President:
(a) a Judge of the High Court or a Justice
of the Court of Appeal, who shall be
the chairman;
(b) a Vice-Chairman;

Electoral
Commission
Act No. 4 of
1992, s. 24
Act No. 7 of
1993 s.?,
 
I beg to differ...Katiba is not neccessaily kila kitu. Kuna a separate piece of legislation which deals with the creation and powers of NEC. Katiba is simply a written document which states the powers and the limits of the govt. Nakubaliana kuwa kweli inahitaji kubadilishwa na kupunguzwa kwa mamlaka ya rais...lakini hicho sio mwiba kwa Chadema kwa sasa.
Ivi mwiba kwa mwananchi ni Katiba kweli?
mwiba kwa Chadema ilikuwa ni Katiba?
 
this constitution is "Obsolete" too much changes, amendments and revisions.......it is also not user friendly..... please tusioge alafu tukavaa nguo chafu
 
I beg to differ...Katiba is not neccessaily kila kitu. Kuna a separate piece of legislation which deals with the creation and powers of NEC. Katiba is simply a written document which states the powers and the limits of the govt. Nakubaliana kuwa kweli inahitaji kubadilishwa na kupunguzwa kwa mamlaka ya rais...lakini hicho sio mwiba kwa Chadema kwa sasa.
Ivi mwiba kwa mwananchi ni Katiba kweli?
mwiba kwa Chadema ilikuwa ni Katiba?

ndugu
katiba ndo kila kitu ndo imempa madaraka president ku changua wakuu wa NEC sasa usipo badili hicho kipengele kwenye katiba utawezaje kubadili hiyo separate piece of legislation?

huoni kama zita contradict kama tukiacha katiba ilivyo na hiyo document ikasema tofauti
 
I beg to differ...Katiba is not neccessaily kila kitu. Kuna a separate piece of legislation which deals with the creation and powers of NEC. Katiba is simply a written document which states the powers and the limits of the govt. Nakubaliana kuwa kweli inahitaji kubadilishwa na kupunguzwa kwa mamlaka ya rais...lakini hicho sio mwiba kwa Chadema kwa sasa.
Ivi mwiba kwa mwananchi ni Katiba kweli?
mwiba kwa Chadema ilikuwa ni Katiba?

Vyombo vyote muhimu vipo chini ya katiba, uteuzi wa wakuu wa hivyo vyombo upo chini ya katiba hivyo kubadili katiba ndo mwanzo wa kila kitu. Usidhani kuwa haja ya katiba mpya inakuja shauri ya CHADEMA imedhulumiwa bali kulikuwa na ulazima huo toka zamani
 
this constitution is "Obsolete" too much changes, amendments and revisions.......it is also not user friendly..... please tusioge alafu tukavaa nguo chafu

kwani nyingine hawazifanyii amendments? tafuta the 18th amendment ya katiba ya marekani uone vichekesho...
 
ndugu
katiba ndo kila kitu ndo imempa madaraka president ku changua wakuu wa NEC sasa usipo badili hicho kipengele kwenye katiba utawezaje kubadili hiyo separate piece of legislation?

huoni kama zita contradict kama tukiacha katiba ilivyo na hiyo document ikasema tofauti

its a plausible conclusion but not necessarily the outright outcome...
mnaweza kuwa na makubaliano na rais katika kuteua hao watu
 
please check the interpretation of the word "obsolete" utaelewa.... check my words are very careful too much changes, amendments and revisions
 
Vyombo vyote muhimu vipo chini ya katiba, uteuzi wa wakuu wa hivyo vyombo upo chini ya katiba hivyo kubadili katiba ndo mwanzo wa kila kitu. Usidhani kuwa haja ya katiba mpya inakuja shauri ya CHADEMA imedhulumiwa bali kulikuwa na ulazima huo toka zamani

basi watupe mwanga zaidi wananchi ni mabadiliko gani wanayataka kwenye katiba!
 
Katiba imebeba mambo yote muhimu ya nchi. Hivyo, ndiyo sheria ambayo inatakiwa kuangaliwa kwa makini sana. Kutokana na umuhimu wake, ndiyo maana CCM hawataki kutunga katiba mpya. Wanajua ndiyo mwisho wa ukiritimba wao.
 
Back
Top Bottom