Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,911
51,889
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
 
Katiba inatamka kuapa bungeni .Haijasema wataapa mbele ya wa wabunge!!!!
bungeni ni kwenye majengo ya bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la bunge au bafu ya bunge ili mradi ni bungeni sababu katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa bunge inasema tu bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya bunge wakaapishwa
Kwa tamaa zao hata wangeambiwa wakaapishwe chooni wangekubali tu kama ulivyosema almradi kiwe choo cha bunge.
 
Katiba inatamka kuapa bungeni .Haijasema wataapa mbele ya wa wabunge!!!!
bungeni ni kwenye majengo ya bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la bunge au bafu ya bunge ili mradi ni bungeni sababu katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa bunge inasema tu bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya bunge wakaapishwa

Siasa za CCP zitawatokea puani,halafu hao wachina ni janja janja tu. Kwani mngewaachia wapinzani viti 100-150 mngepungikiwa na nini?

Ulafi wenu wa madaraka na hii tabia ya Magufuli ya kupenda kusikia yale abayoyapenda tu na kushindwa kuhimili kusikia yale hasiyoyapenda itatuzidishia njaa sisi wananchi wa kawaida. Njaa ikikolea hawa Watanzania wapole watawabadilikia na kuingia mtaani bila ya kuambiwa na mwanasiasa yoyote,njaa uzaa ujasiri.
 
Siasa za CCP zitawatokea puani,halafu hao wachina ni janja janja tu. Kwani mngewaachia wapinzani viti 100-150 mngepungikiwa na nini?

Ulafi wenu wa madaraka na hii tabia ya Magufuli ya kupenda kusikia yale abayoyapenda tu na kushindwa kuhimili kusikia yale hasiyoyapenda itatuzidishia njaa sisi wananchi wa kawaida. Njaa ikikolea hawa Watanzania wapole watawabadilikia na kuingia mtaani bila ya kuambiwa na mwanasiasa yoyote,njaa uzaa ujasiri.
Usomaji wako wa katiba na tafasri yake uba walakini
 
Katiba inatamka kuapa bungeni .Haijasema wataapa mbele ya wa wabunge!!!!
bungeni ni kwenye majengo ya bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la bunge au bafu ya bunge ili mradi ni bungeni sababu katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa bunge inasema tu bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya bunge wakaapishwa
Mkuu kwani tafsiri ya bunge ni nini hasa, je ni jengo au ni chombo?
 
Uelewa wa wanachadema wengi mdogo
Kuapa unatakiwa kuapa mbele ya afisa mwapishaji kwenye eneo husika.Wabunge sio maafisa waapishaji ,Spika ndie afisa mwapishaji kwa hiyo huwezi sema ohh walitakiwa kuapa mbele ya wabunge wenzao kwani hao wabunge wenzao ni maafisa viapo?

Mwapishaji Spika yuko huru kuapisha popote ili mradi ni bungeni kama ilivyo kwa hakimu aweza kuapisha popote sio tu ndani ya chumba cha mahakama aweza kukuapisha hata ofisini kwake mradi ni kwenye eneo la mahakama kama akiona inafaa
 
Mkuu kwani tafsiri ya bunge ni nini hasa, je ni jengo au ni chombo?
Tasfsiri ya Bungeni ni nini? Wale wameapshwa bungeni .Bungeni ni location.Anga;ia hilo neno Bungeni usilikate liache hivyo hivyo lilivyo.BUNGENI.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom