nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Akivuliwa uanachama anapoteza sifa za kuwa rais. Kama uchaguzi ukiitishwa hata akigombea hata shinda. Wengi wanaipenda CCM. Mfano ninao. Aliyehusika kwenye sakata la ESCROW, alishinda uchaguzi. Chaajabu, yule aliyeibua sakata hilo la escow, alipigwa chini. Kwa kigezo hicho, ni dhahiri wananchi tunawachukia wanaotaka kututoa tulipo kutupeleka mbele. Kama una hoja nzito ya kupingana na mm, iandike hapaHata akivuliwa Uanachama, atachaguliwa tena kuwa Rais kama uchaguzi utaitishwa tena kwani wananchi walimchagua yeye na siyo chama!