Hivi kwa MoU kati ya wakristo na serikali "serikali imevunja katiba ibara 19 inayosema .."serikali haina dini......na shughuli za kuendesha taasisi za dini zitakuwa nje ya serikali...."
Je..fedha hizo za umma zilizotolewa zimeshafanyiwa auditing na auditor wa serikali au kamati ya bunge???
Je.. kuipa taasisi za dini fedha si kusaidia kuendesha shughuli za dini?
Je ni lini MoU hii itavunjwa na waliohusika kuulizwa na tume huru?
Je naweza kupeleka shauri hili mahakamani ili lipate tafsiri sahihi ya ibara hiyo?
Je..fedha hizo za umma zilizotolewa zimeshafanyiwa auditing na auditor wa serikali au kamati ya bunge???
Je.. kuipa taasisi za dini fedha si kusaidia kuendesha shughuli za dini?
Je ni lini MoU hii itavunjwa na waliohusika kuulizwa na tume huru?
Je naweza kupeleka shauri hili mahakamani ili lipate tafsiri sahihi ya ibara hiyo?