Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau ni suala la kujifunza tu.
Rais anapochaguliwa anateua waziri mkuu na mawaziri ambao wote huapa mbele yake na ndivyo ilivyokuwa. Baada ya kifo cha Rais Magufuli aliyekuwa makamu wa rais mama samia akaapishwa kuwa rais wa tanzania. Rais samia hakuteua waziri mkuu na baadhi ya mawaziri waliendelea wale walioteuliwa na rais magufuli.
Swali:
Je, waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ambao hawakuteuliwa na rais samia ni sahihi kuendelea na kiapo walichoapa kwa rais magufuli au walipaswa waapishwe na rais samia?
Naomba kuelimishwa.
Rais anapochaguliwa anateua waziri mkuu na mawaziri ambao wote huapa mbele yake na ndivyo ilivyokuwa. Baada ya kifo cha Rais Magufuli aliyekuwa makamu wa rais mama samia akaapishwa kuwa rais wa tanzania. Rais samia hakuteua waziri mkuu na baadhi ya mawaziri waliendelea wale walioteuliwa na rais magufuli.
Swali:
Je, waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ambao hawakuteuliwa na rais samia ni sahihi kuendelea na kiapo walichoapa kwa rais magufuli au walipaswa waapishwe na rais samia?
Naomba kuelimishwa.