Katiba ifanyiwe marekebisho, marais wastaafu waruhusiwe kugombea tena

nimemulewa mnoo mtoa mada ..yaani anaona niangalau nchi hii kuongozwa tena na watu hao endapo watu wengine wakuiongoza nchi watakuw hawapo ..kuliko nchi kuendelea kuongozwa na huyu mtusi
Unajua ni vibaya sana kuunga mkono kilio cha mtu bila kujua sababu. Huyu anayelialia nini hasa kimempata. Ukimuuliza hana cha kusema kimempata. Hapa sasa ndo kinachoitwa maisha na pesa. Pesa ni bidhaa adimu na ndiyo maana inakuwa na thamani. Anayevizia kuiba, kukwepa kodi, migomo ya EFD, nk. bora ahame. Kwangu mimi uzi uwe ni huo huo!
 
Rais ndo anaeshika dola ktk kila sekta unaposema apewe nafasi ya kugombea kwa awamu ingine,je ikitokea rais dikteta akigombea na kutumia power yake kupata ushindi wa kura c ndo tutakwisha milele.Futa mawazo ya kupimbavu hayo.
 
Rais ndo anaeshika dola ktk kila sekta unaposema apewe nafasi ya kugombea kwa awamu ingine,je ikitokea rais dikteta akigombea na kutumia power yake kupata ushindi wa kura c ndo tutakwisha milele.Futa mawazo ya kupimbavu hayo.
unaelewa ulichokiandika ? ujinga mzigo
 
Kuna watu hamna kazi za kufanya,siasa zimewashinda kila kitu kimewashinda mmeanza kuja na mada nyepesi za kufikirika,poleni sana.
 
Huyu tuna mpango wa kumuongeza miaka saba hii mitano haitoshi
Sawa, nafasi yoyote atakayopata itapita na kuisha pia na atapumzika. Point yangu ni tusisumbue walio tayari kupumzika. Labda kama wao wenyewe wameonyesha Nia.
 
Wana bodi salaam,

Katiba yetu sio Msahafu/Biblia, nikiwa na maana muda wowote inaweza fanyiwa marekebisho pale inapohitajika kwa maslahi ya taifa yenye tija. Hili tumekuwa tukiliona likitokea kwani kufikia sasa katiba yetu imeshafanyiwa marekebisho mara kadhaa, pia nadhani hili linaweza kuendelea.

Naam, ninaona kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, ili maraisi wastaafu waruhusiwe kugombea tena nafasi hiyo, pale watakapohisi wanaweza kufanya hivo, baada ya wao kujitosa kwenye kinyang'anyiro sisi wananchi ndio tutawapima kama tunaweza kuwaamini na kuwapa tena mamlaka ya kuliongoza taifa letu ama la.

Kwa hapa kwetu tunao maraisi wastaafu watatu ambao ni Mzee Mwinyi A.H, Mzee Mkapa B.W, na Mzee Kikwete J.K. kwa uhalisia Mzee Mwinyi amezeeka kwa umri wake (miaka 90 na kuendelea), lakini kwa hawa wawili bado nguvu zipo, zaidi kwa JK bado anaonekana anaweza kabisa kuongoza zipo.

Hakika ingependeza tena tungemuona JK kwenye harakati za kuwania tena hii nafasi, sio kwamba ni mkamilifu sana au kwenye uongozi wake hakuwa na dosari, ila dosari za awamu ya tano zimezidi kuvuka mipaka.
Enzi za JK;

-Wafanyakazi waliboreshewa maslahi, walipanda madaraja kwa wakati na kupata stahiki zao

-Demokrasia ilikuwepo ya kweli, hivi kwa ungozi huu wa JPM , kina slaa wangepata mwanya wa kuandaa mkutano wa kisiasa nchi nzima, sijui mambo ya kushukuru wanachi kwa kuwapigia kura ? mambo ya list of shame mnazi mmoja ? wangekaripiwa kwa makatazo, na wangeishia kuswekwa jela kwa kesi za uchochezi, lakini JK hakuwa anahaingaika nao, anawaacha wanatoa ya moyoni maisha yanaendelea.

-Mishahara ilikuwa inatoka kwa wakati, longolongo hazikuwepo

-Ajira zilikuwepo, japo hapa naomba nikiri kwamba aliweza kuajiri kwa kiasi chache kulingana na uhitaji na bajeti. Nikiri tatizo la ajira limekuwa sugu hata huko nchi za watu japo tatizo sio kubwa kama nchi za ulimwengu wa tatu mfano Tanzania. Hata USA, England, Germany na kwingineko hili tatizo lipo lakini huwezi kulinganisha na bongo.

-Uhuru wa habari ulikuwepo.

-Alijitahidi kujenga mahusiano mazuri na wapinzani, kuwaita kukaa nao pamoja na kujadili baadhi ya mambo yenye maslahi kwa nchi. Mara ngapi kina ZZK, Mbowe, Slaa, Lipumba wameenda ikulu na kunywa chai na mheshimiwa JK huku wakijadili mambo ya taifa letu ? vipi kwa huyu wa sasa ?

-Walau uchumi ulikuwa wastani, mambo yalikuwa yanaenda sio kama sasa, pesa ilikuwepo kwenye mzunguko. kwa kipindi hiki mambo yamebadilika sana.

-Miradi ya maendeleo ilikuwepo na ilifanyika vizuri kabisa, mifano mnayo.

Kwa kifupi hayo niliyoorodhesha hapo na mengine mengi ni baadhi ya mazuri ya JK, nchi ilikuwa na usawa, kila mtu alikula kwa namna yake, haki za binadamu zilizingatiwa n.k

Kwa nini katiba isirekebishwe hiki kipengele cha wastaafu waruhusiwe kugombea tena kikawekwa? hakika JK akijitosa tena atashinda kwa kishindo kikubwa sana.

Huyu mzee wetu ni mwanasiasa haswa, master mind, anajua afanye nini kwa wakati gani, hakurupuki na anapokea ushauri, kwa kifupi yupo smart sana na maamuzi anayoyafanya.
Lakini tukubali pia kuwa JK alifikia kuchoka. Ushahidi mmojawapo wa kuchoka huku ni pale alipokosa succession plan ya kuleta mtu wa kuendeleza pale alipoachia. Mkiniambia succession plan ya JK ni haya tunayoyaona sasa, hiyo pia ni sehemu ya failure yake, na ni sababu tosha ya kusema tumtendee tu haki kwa kumshukuru kwa mema aliyofanikisha tumwache ale pensheni yake, ni haki yake kupumzika baada ya changamoto alizopitia.
 
Lakini tukubali pia kuwa JK alifikia kuchoka. Ushahidi mmojawapo wa kuchoka huku ni pale alipokosa succession plan ya kuleta mtu wa kuendeleza pale alipoachia. Mkiniambia succession plan ya JK ni haya tunayoyaona sasa, hiyo pia ni sehemu ya failure yake, na ni sababu tosha ya kusema tumtendee tu haki kwa kumshukuru kwa mema aliyofanikisha tumwache ale pensheni yake, ni haki yake kupumzika baada ya changamoto alizopitia.
Alichokifanya ni nini ndugu? Safari za US au nini?
 
Huyu mzee wetu ni mwanasiasa haswa, master mind, anajua afanye nini kwa wakati gani, hakurupuki na anapokea ushauri, kwa kifupi yupo smart sana na maamuzi anayoyafanya.
...Ni Mkuu wa Chuo (UDSM), hembu tisubilri kuona ataleta mapya gani pale...
 
Wana bodi salaam,

Katiba yetu sio Msahafu/Biblia, nikiwa na maana muda wowote inaweza fanyiwa marekebisho pale inapohitajika kwa maslahi ya taifa yenye tija. Hili tumekuwa tukiliona likitokea kwani kufikia sasa katiba yetu imeshafanyiwa marekebisho mara kadhaa, pia nadhani hili linaweza kuendelea.

Naam, ninaona kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, ili maraisi wastaafu waruhusiwe kugombea tena nafasi hiyo, pale watakapohisi wanaweza kufanya hivo, baada ya wao kujitosa kwenye kinyang'anyiro sisi wananchi ndio tutawapima kama tunaweza kuwaamini na kuwapa tena mamlaka ya kuliongoza taifa letu ama la.

Kwa hapa kwetu tunao maraisi wastaafu watatu ambao ni Mzee Mwinyi A.H, Mzee Mkapa B.W, na Mzee Kikwete J.K. kwa uhalisia Mzee Mwinyi amezeeka kwa umri wake (miaka 90 na kuendelea), lakini kwa hawa wawili bado nguvu zipo, zaidi kwa JK bado anaonekana anaweza kabisa kuongoza zipo.

Hakika ingependeza tena tungemuona JK kwenye harakati za kuwania tena hii nafasi, sio kwamba ni mkamilifu sana au kwenye uongozi wake hakuwa na dosari, ila dosari za awamu ya tano zimezidi kuvuka mipaka.
Enzi za JK;

-Wafanyakazi waliboreshewa maslahi, walipanda madaraja kwa wakati na kupata stahiki zao

-Demokrasia ilikuwepo ya kweli, hivi kwa ungozi huu wa JPM , kina slaa wangepata mwanya wa kuandaa mkutano wa kisiasa nchi nzima, sijui mambo ya kushukuru wanachi kwa kuwapigia kura ? mambo ya list of shame mnazi mmoja ? wangekaripiwa kwa makatazo, na wangeishia kuswekwa jela kwa kesi za uchochezi, lakini JK hakuwa anahaingaika nao, anawaacha wanatoa ya moyoni maisha yanaendelea.

-Mishahara ilikuwa inatoka kwa wakati, longolongo hazikuwepo

-Ajira zilikuwepo, japo hapa naomba nikiri kwamba aliweza kuajiri kwa kiasi chache kulingana na uhitaji na bajeti. Nikiri tatizo la ajira limekuwa sugu hata huko nchi za watu japo tatizo sio kubwa kama nchi za ulimwengu wa tatu mfano Tanzania. Hata USA, England, Germany na kwingineko hili tatizo lipo lakini huwezi kulinganisha na bongo.

-Uhuru wa habari ulikuwepo.

-Alijitahidi kujenga mahusiano mazuri na wapinzani, kuwaita kukaa nao pamoja na kujadili baadhi ya mambo yenye maslahi kwa nchi. Mara ngapi kina ZZK, Mbowe, Slaa, Lipumba wameenda ikulu na kunywa chai na mheshimiwa JK huku wakijadili mambo ya taifa letu ? vipi kwa huyu wa sasa ?

-Walau uchumi ulikuwa wastani, mambo yalikuwa yanaenda sio kama sasa, pesa ilikuwepo kwenye mzunguko. kwa kipindi hiki mambo yamebadilika sana.

-Miradi ya maendeleo ilikuwepo na ilifanyika vizuri kabisa, mifano mnayo.

Kwa kifupi hayo niliyoorodhesha hapo na mengine mengi ni baadhi ya mazuri ya JK, nchi ilikuwa na usawa, kila mtu alikula kwa namna yake, haki za binadamu zilizingatiwa n.k

Kwa nini katiba isirekebishwe hiki kipengele cha wastaafu waruhusiwe kugombea tena kikawekwa? hakika JK akijitosa tena atashinda kwa kishindo kikubwa sana.

Huyu mzee wetu ni mwanasiasa haswa, master mind, anajua afanye nini kwa wakati gani, hakurupuki na anapokea ushauri, kwa kifupi yupo smart sana na maamuzi anayoyafanya.
Unajaza jf kwa nyuzi zako mfululizo
 
Wana bodi salaam,

Katiba yetu sio Msahafu/Biblia, nikiwa na maana muda wowote inaweza fanyiwa marekebisho pale inapohitajika kwa maslahi ya taifa yenye tija. Hili tumekuwa tukiliona likitokea kwani kufikia sasa katiba yetu imeshafanyiwa marekebisho mara kadhaa, pia nadhani hili linaweza kuendelea.

Naam, ninaona kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, ili maraisi wastaafu waruhusiwe kugombea tena nafasi hiyo, pale watakapohisi wanaweza kufanya hivo, baada ya wao kujitosa kwenye kinyang'anyiro sisi wananchi ndio tutawapima kama tunaweza kuwaamini na kuwapa tena mamlaka ya kuliongoza taifa letu ama la.

Kwa hapa kwetu tunao maraisi wastaafu watatu ambao ni Mzee Mwinyi A.H, Mzee Mkapa B.W, na Mzee Kikwete J.K. kwa uhalisia Mzee Mwinyi amezeeka kwa umri wake (miaka 90 na kuendelea), lakini kwa hawa wawili bado nguvu zipo, zaidi kwa JK bado anaonekana anaweza kabisa kuongoza zipo.

Hakika ingependeza tena tungemuona JK kwenye harakati za kuwania tena hii nafasi, sio kwamba ni mkamilifu sana au kwenye uongozi wake hakuwa na dosari, ila dosari za awamu ya tano zimezidi kuvuka mipaka.
Enzi za JK;

-Wafanyakazi waliboreshewa maslahi, walipanda madaraja kwa wakati na kupata stahiki zao

-Demokrasia ilikuwepo ya kweli, hivi kwa ungozi huu wa JPM , kina slaa wangepata mwanya wa kuandaa mkutano wa kisiasa nchi nzima, sijui mambo ya kushukuru wanachi kwa kuwapigia kura ? mambo ya list of shame mnazi mmoja ? wangekaripiwa kwa makatazo, na wangeishia kuswekwa jela kwa kesi za uchochezi, lakini JK hakuwa anahaingaika nao, anawaacha wanatoa ya moyoni maisha yanaendelea.

-Mishahara ilikuwa inatoka kwa wakati, longolongo hazikuwepo

-Ajira zilikuwepo, japo hapa naomba nikiri kwamba aliweza kuajiri kwa kiasi chache kulingana na uhitaji na bajeti. Nikiri tatizo la ajira limekuwa sugu hata huko nchi za watu japo tatizo sio kubwa kama nchi za ulimwengu wa tatu mfano Tanzania. Hata USA, England, Germany na kwingineko hili tatizo lipo lakini huwezi kulinganisha na bongo.

-Uhuru wa habari ulikuwepo.

-Alijitahidi kujenga mahusiano mazuri na wapinzani, kuwaita kukaa nao pamoja na kujadili baadhi ya mambo yenye maslahi kwa nchi. Mara ngapi kina ZZK, Mbowe, Slaa, Lipumba wameenda ikulu na kunywa chai na mheshimiwa JK huku wakijadili mambo ya taifa letu ? vipi kwa huyu wa sasa ?

-Walau uchumi ulikuwa wastani, mambo yalikuwa yanaenda sio kama sasa, pesa ilikuwepo kwenye mzunguko. kwa kipindi hiki mambo yamebadilika sana.

-Miradi ya maendeleo ilikuwepo na ilifanyika vizuri kabisa, mifano mnayo.

Kwa kifupi hayo niliyoorodhesha hapo na mengine mengi ni baadhi ya mazuri ya JK, nchi ilikuwa na usawa, kila mtu alikula kwa namna yake, haki za binadamu zilizingatiwa n.k

Kwa nini katiba isirekebishwe hiki kipengele cha wastaafu waruhusiwe kugombea tena kikawekwa? hakika JK akijitosa tena atashinda kwa kishindo kikubwa sana.

Huyu mzee wetu ni mwanasiasa haswa, master mind, anajua afanye nini kwa wakati gani, hakurupuki na anapokea ushauri, kwa kifupi yupo smart sana na maamuzi anayoyafanya.
Acha ujinga.Watanzania wenye uwezo na elimu tuko wengi na tunauhitaji sana uraisi nasi tule tunu za nchi yetu.
 
Wana bodi salaam,

Katiba yetu sio Msahafu/Biblia, nikiwa na maana muda wowote inaweza fanyiwa marekebisho pale inapohitajika kwa maslahi ya taifa yenye tija. Hili tumekuwa tukiliona likitokea kwani kufikia sasa katiba yetu imeshafanyiwa marekebisho mara kadhaa, pia nadhani hili linaweza kuendelea.

Naam, ninaona kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, ili maraisi wastaafu waruhusiwe kugombea tena nafasi hiyo, pale watakapohisi wanaweza kufanya hivo, baada ya wao kujitosa kwenye kinyang'anyiro sisi wananchi ndio tutawapima kama tunaweza kuwaamini na kuwapa tena mamlaka ya kuliongoza taifa letu ama la.

Kwa hapa kwetu tunao maraisi wastaafu watatu ambao ni Mzee Mwinyi A.H, Mzee Mkapa B.W, na Mzee Kikwete J.K. kwa uhalisia Mzee Mwinyi amezeeka kwa umri wake (miaka 90 na kuendelea), lakini kwa hawa wawili bado nguvu zipo, zaidi kwa JK bado anaonekana anaweza kabisa kuongoza zipo.

Hakika ingependeza tena tungemuona JK kwenye harakati za kuwania tena hii nafasi, sio kwamba ni mkamilifu sana au kwenye uongozi wake hakuwa na dosari, ila dosari za awamu ya tano zimezidi kuvuka mipaka.
Enzi za JK;

-Wafanyakazi waliboreshewa maslahi, walipanda madaraja kwa wakati na kupata stahiki zao

-Demokrasia ilikuwepo ya kweli, hivi kwa ungozi huu wa JPM , kina slaa wangepata mwanya wa kuandaa mkutano wa kisiasa nchi nzima, sijui mambo ya kushukuru wanachi kwa kuwapigia kura ? mambo ya list of shame mnazi mmoja ? wangekaripiwa kwa makatazo, na wangeishia kuswekwa jela kwa kesi za uchochezi, lakini JK hakuwa anahaingaika nao, anawaacha wanatoa ya moyoni maisha yanaendelea.

-Mishahara ilikuwa inatoka kwa wakati, longolongo hazikuwepo

-Ajira zilikuwepo, japo hapa naomba nikiri kwamba aliweza kuajiri kwa kiasi chache kulingana na uhitaji na bajeti. Nikiri tatizo la ajira limekuwa sugu hata huko nchi za watu japo tatizo sio kubwa kama nchi za ulimwengu wa tatu mfano Tanzania. Hata USA, England, Germany na kwingineko hili tatizo lipo lakini huwezi kulinganisha na bongo.

-Uhuru wa habari ulikuwepo.

-Alijitahidi kujenga mahusiano mazuri na wapinzani, kuwaita kukaa nao pamoja na kujadili baadhi ya mambo yenye maslahi kwa nchi. Mara ngapi kina ZZK, Mbowe, Slaa, Lipumba wameenda ikulu na kunywa chai na mheshimiwa JK huku wakijadili mambo ya taifa letu ? vipi kwa huyu wa sasa ?

-Walau uchumi ulikuwa wastani, mambo yalikuwa yanaenda sio kama sasa, pesa ilikuwepo kwenye mzunguko. kwa kipindi hiki mambo yamebadilika sana.

-Miradi ya maendeleo ilikuwepo na ilifanyika vizuri kabisa, mifano mnayo.

Kwa kifupi hayo niliyoorodhesha hapo na mengine mengi ni baadhi ya mazuri ya JK, nchi ilikuwa na usawa, kila mtu alikula kwa namna yake, haki za binadamu zilizingatiwa n.k

Kwa nini katiba isirekebishwe hiki kipengele cha wastaafu waruhusiwe kugombea tena kikawekwa? hakika JK akijitosa tena atashinda kwa kishindo kikubwa sana.

Huyu mzee wetu ni mwanasiasa haswa, master mind, anajua afanye nini kwa wakati gani, hakurupuki na anapokea ushauri, kwa kifupi yupo smart sana na maamuzi anayoyafanya.
Wamesahau nini katika uongozi,wapumzike na tutawaheshimu kwa maamuzi yao hayo ya busara na hekima.Hatuwezi kukosa kiongozi mzuri apart from them katika WaTZ 58m na ushei.
 
Back
Top Bottom