Kwa hizi drama zinazoendelea hapa nchini ni vema kwa serikali yetu huru na yenye kujiamulia mambo yake yenyewe pasipo kuingiliwa na mtu wala nchi yoyote kufanya mabadiliko ya katiba na kupitisha rasmi mfumo wa chama kimoja~monopartism
Kwa sasa inaonekana tunapoteza muda tu wakujihisisha na shughuli zingine za kimaendeleo kwa kufocus zaidi kwenye chaguzi zisokuwa hata na chembe ya upinzani kwa kutawaliwa na mabavu ya chama kimoja cha kijani
Pia ni upotevu wa pesa za wananchi ambazo zingetumika kufanya maendeleo katika nyanja mbalimbali hapa nchini, pia pesa za wagombea hasa wa upinzani nawasikitia zinaenda bure kugharamia uchaguzi na kampeni huku wakijua kabisa hawawezi kutangazwa mbele ya chama dola
Ewe mkuu wa serikali ni wakati wako sasa kuondoa huu usumbufu na malalamiko na vitisho toka upinzani kama vile kuandamana na kwenda mahakamani ni vema ukabadili katiba ijulikane wazi tuko chini ya chama kimoja
Chifyono
Kwa sasa inaonekana tunapoteza muda tu wakujihisisha na shughuli zingine za kimaendeleo kwa kufocus zaidi kwenye chaguzi zisokuwa hata na chembe ya upinzani kwa kutawaliwa na mabavu ya chama kimoja cha kijani
Pia ni upotevu wa pesa za wananchi ambazo zingetumika kufanya maendeleo katika nyanja mbalimbali hapa nchini, pia pesa za wagombea hasa wa upinzani nawasikitia zinaenda bure kugharamia uchaguzi na kampeni huku wakijua kabisa hawawezi kutangazwa mbele ya chama dola
Ewe mkuu wa serikali ni wakati wako sasa kuondoa huu usumbufu na malalamiko na vitisho toka upinzani kama vile kuandamana na kwenda mahakamani ni vema ukabadili katiba ijulikane wazi tuko chini ya chama kimoja
Chifyono