Katiba hii ukiipeleka Marekani au China, wote watakuwa maskini kama Tanzania

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,073
Ni hayo tu Watanzania wenzangu. Nimekata tamaa kabisa na hii katiba kwani haiwezekani nchi huru yenye Miaka 60 Ya Uhuru AMANI na UTULIVU.

Haina VITA kama CONGO ina RASLIMALI za Kutosha karibu kila Mkoa lakini Bado Wananchi wake ni maskini wa kutupwa.

Tanzania ilikuwa nchi ya Uchumi wa kati leo imekuwa nchi maskini duniani. Miaka 60 bado Tunahangaika na Madawati, Madawa, Matundu ya Vyoo, Ajira, Uokoaji, Demokrasia, Tozo, Bei za Bidhaa, Madeni ya Nje, Maji, Mgao wa umeme.

Nina Amini Katiba hii ukiipeleka MAREKANI au CHINA ikatumike pamoja na maendeleo ya nchi hizo yataporomoka na kuwa Kama Tanzania.

Watanzania tunatakiwa tupiganie upatikanaji wa katiba mpya


20220512_073430.jpg
 
MImi binafsi huwa naona katiba sio issue, Issue ni UADILIFU wa wanaopewa madaraka, kuna nchi hazina written constitution lakini wametuacha mbali wako dunia ya kwanza, Africa waliopewa madaraka wanauchu na matumbo yao kuliko wananchi wenzao. Kwa aina ya wanasiasa ambao ni viongozi tulio nao hata ikiletwa katiba kutoka mbinguni sidhani kama kutakuwa na mabadiliko yoyote.
 
MImi binafsi huwa naona katiba sio issue, Issue ni UADILIFU wa wanaopewa madaraka, kuna nchi hazina written constitution lakini wametuacha mbali wako dunia ya kwanza, Africa waliopewa madaraka wanauchu na matumbo yao kuliko wananchi wenzao. Kwa aina ya wanasiasa ambao ni viongozi tulio nao hata ikiletwa katiba kutoka mbinguni sidhani kama kutakuwa na mabadiliko yoyote.
Tabia zetu (waafrika wote) tunazifahamu, ni wabinafsi, wakatili, wapuuziaji na tusiopenda kuwajibika hivyo ni vema tukawa na katiba ya kutuongoza na kudhibiti vitabia hivyo nilivyoainisha. Wenzetu (wazungu) ni jamii zilizostaarabika, yote hayo wanafundishwa tangu utoto wao so hata wasipokuwa na katiba mambo yao yataenda tu.
 
Back
Top Bottom