Katiba bora ndio suluhisho

Payer

JF-Expert Member
May 10, 2014
824
188
Wakati Tanzania ikitoa macho kwa mshangao juu ya uchotwaji wa fedha za escrow; Mimi sishangai sana kwani hayo ni matokeo ya katiba mbovu inayoacha mianya ya kuandika mikataba mibovu.

Kwa kuwatumia wanasheria wazawa wasio wazalendo na wenye uchu wa pesa, sheria inapotoshwa na wanafanya yao.

Rai yangu: vijana ndio wakomboz pekee wa taifa hili wakishirikiana na wazee.
Tujiandikishe kupiga kura, tushiriki ktk uongozi kwa ngazi tofauti kivitendo.
Pili tusibeze mchakato huu wa katiba. Tutalia sana tusipokuwa makini na hili.
 
Ndugu wana jamvi karibuni tushirikiane kwa pamoja kulitazama hili suala kwa mapana zaidi ili Taifa lijue namna sahihi ya kushughulikia mambo haya kwa pamoja.maana tunaona jinsi katiba iliyopo inaonekana kutokuheshimika.
 
Kama tuta pata raisi aina kama ya jk,sisi ni kwishney.Hakuna kufuata sheria. sheria zina vunjwa tu.Vimemo vina andikwa tu hazina itoe fedha hovyo hovyo.Madaraka anatoa kwa kuzingatia urafiki,kujuana au Dini.Chini ya jk lazima uwe mvaaji wa baglashia au baibui au hijabu ndiyo una lako kwa jk
 
Kama tuta pata raisi aina kama ya jk,sisi ni kwishney.Hakuna kufuata sheria. sheria zina vunjwa tu.Vimemo vina andikwa tu hazina itoe fedha hovyo hovyo.Madaraka anatoa kwa kuzingatia urafiki,kujuana au Dini.Chini ya jk lazima uwe mvaaji wa baglashia au baibui au hijabu ndiyo una lako kwa jk

Wewe umeshiba sembe tu hayo mambo uliyoyataja inaelekea kuna mtu kakumezesha
uje kutukana hapa, una hasira sana kama ulikosa kuteuliwa na Mh
kuwa kiongozi ujue huna sifa, acha kelele acha wenye sifa
wamsaidie rais kufanya kaI!
 
Kama tuta pata raisi aina kama ya jk,sisi ni kwishney.Hakuna kufuata sheria. sheria zina vunjwa tu.Vimemo vina andikwa tu hazina itoe fedha hovyo hovyo.Madaraka anatoa kwa kuzingatia urafiki,kujuana au Dini.Chini ya jk lazima uwe mvaaji wa baglashia au baibui au hijabu ndiyo una lako kwa jk

Wewe umeshiba sembe tu hayo mambo uliyoyataja inaelekea kuna mtu kakumezesha
uje kutukana hapa, una hasira sana kama ulikosa kuteuliwa na Mh
kuwa kiongozi ujue huna sifa, acha kelele acha wenye sifa
wamsaidie rais kufanya kaI!
 
Tatizo na suluhisho si katiba bali chama. Katiba iliyopo inakataza rushwa na ufisadi, lakini chama cha mapinduzi kimegeuza, kuukumbatia na kufanya ufisadi kuwa sifa kuu ya kuwa kiongozi.
 
Tatizo na suluhisho si katiba bali chama. Katiba iliyopo inakataza rushwa na ufisadi, lakini chama cha mapinduzi kimegeuza, kuukumbatia na kufanya ufisadi kuwa sifa kuu ya kuwa kiongozi.

Kama kweli unauhakika na kile unachokiongea
Weka copy ya Ilani ya CCM Hapa tuone maana
ndiyo wanayoisimamia tuone hayo madai yako ya Rushwa kama kweli imepewa
kipaumbele, maana ndo chama kinachoongoza Serikali.
ili tukuamini na maneno yako
 
Kama kweli unauhakika na kile unachokiongea
Weka copy ya Ilani ya CCM Hapa tuone maana
ndiyo wanayoisimamia tuone hayo madai yako ya Rushwa kama kweli imepewa
kipaumbele, maana ndo chama kinachoongoza Serikali.
ili tukuamini na maneno yako

akili yako ni nzito sana kuelewa. soma nilichoandika utafakari
 
Tatizo na suluhisho si katiba bali chama. Katiba iliyopo inakataza rushwa na ufisadi, lakini chama cha mapinduzi kimegeuza, kuukumbatia na kufanya ufisadi kuwa sifa kuu ya kuwa kiongozi.

Katiba ndo sheria mama ya nchi, kama haya mambo yamewekwa vizuri kinachofuata ni utekelezaji tu, masuala mengine ni maadili tu ya viongoZi!
 
kwani katiba ya sasa haipingi rushwa?
Hii inayopendekezwa kaka imeiweka TAKUKURU kwa mara ya kwanza katika Ibara ya 249, hivyo kuna utofauti hapo kidogo, ya maana hii imeweka chombo chenye meno ya kung'ata wahusika wa rushwa tofauti na ya mwanzo yaani ya 1977 haikueleza kiundani.
 
Hii inayopendekezwa kaka imeiweka TAKUKURU kwa mara ya kwanza katika Ibara ya 249, hivyo kuna utofauti hapo kidogo, ya maana hii imeweka chombo chenye meno ya kung'ata wahusika wa rushwa tofauti na ya mwanzo yaani ya 1977 haikueleza kiundani.

Hata TAKUKURU ikiwekwa as long as there is no political will, haitafanikiwa. Kumbuka kuwa katika miiko ya ccm rushwa pia ni mwiko....kinachoendelea ndani ya ccm si unakijua?
 
Hata TAKUKURU ikiwekwa as long as there is no political will, haitafanikiwa. Kumbuka kuwa katika miiko ya ccm rushwa pia ni mwiko....kinachoendelea ndani ya ccm si unakijua?
Acha wehu wewe mbwiga, umetumwa nini? Sasa kuna chama ambacho hakuna rushwa? Huko Chadema nako juzi juzi tu ripoti ya CAG imewaanika hao maboss wako wakigawana fedha za euzuku za chama, je na wewe hujui hilo? Nyau weee
 
Acha wehu wewe mbwiga, umetumwa nini? Sasa kuna chama ambacho hakuna rushwa? Huko Chadema nako juzi juzi tu ripoti ya CAG imewaanika hao maboss wako wakigawana fedha za euzuku za chama, je na wewe hujui hilo? Nyau weee

ms.enge usiyeelewa lazima uwepo...katika comments zangu zijaweka Chadema wal kusema chadema hakuna rushwa. au hujui maana ya political will-utashi wa kisiasa....acha use.nge wa kudandia magari kwa mbele.

mazuzu kama ninyi kila anayekosoa kitu katika ccm mnadhani yuko chadema...mbwiga na ms.enge mkubwa wewe.
 
ms.enge usiyeelewa lazima uwepo...katika comments zangu zijaweka Chadema wal kusema chadema hakuna rushwa. au hujui maana ya political will-utashi wa kisiasa....acha use.nge wa kudandia magari kwa mbele.

mazuzu kama ninyi kila anayekosoa kitu katika ccm mnadhani yuko chadema...mbwiga na ms.enge mkubwa wewe.

Matusi ya nini? Mleta mada ameleta ili watu waelimishane. Nasema matusi siyo hoja kujiandikisha kupiga kura ndiyo mpango mzima. Matusi siyo dili, epuka matusi! Tumia haki yako ya kujiandikisha ili upate sifa ya kisheria na kikatiba muda ukiwadia upige kura.
 
Wakati Tanzania ikitoa macho kwa mshangao juu ya uchotwaji wa fedha za escrow; Mimi sishangai sana kwani hayo ni matokeo ya katiba mbovu inayoacha mianya ya kuandika mikataba mibovu.

Kwa kuwatumia wanasheria wazawa wasio wazalendo na wenye uchu wa pesa, sheria inapotoshwa na wanafanya yao.

Rai yangu: vijana ndio wakomboz pekee wa taifa hili wakishirikiana na wazee.
Tujiandikishe kupiga kura, tushiriki ktk uongozi kwa ngazi tofauti kivitendo.
Pili tusibeze mchakato huu wa katiba. Tutalia sana tusipokuwa makini na hili.
Umeweka povu tu hapo hakuna la maana hapo muingo mkubwa wewe nyau acha uongo wako bhana
 
ms.enge usiyeelewa lazima uwepo...katika comments zangu zijaweka Chadema wal kusema chadema hakuna rushwa. au hujui maana ya political will-utashi wa kisiasa....acha use.nge wa kudandia magari kwa mbele.

mazuzu kama ninyi kila anayekosoa kitu katika ccm mnadhani yuko chadema...mbwiga na ms.enge mkubwa wewe.
Ms.enge ni wewe na baba yako plus ukoo wenu wote huo, umetumwa wewe huna lolote acha ubabe wako wa kiboya hapa samaki pori weeeee
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom