captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 626
Wadau habari zenu.?
Nilikuwa natumia Samsung A30, ambayo nilinunua mwaka juzi ,nilipanga mwaka huu ninadilishe..
bahati mbaya jana nikiwa na mashkaji tunapiga mambo niliidondosha, haifanyi kazi kwenye screen, ofcourse huwa situmii screen protector hivyo tangu muda imepasuka kioo, ila jana kioo kiliachana na simu, SITAKI KUITENGENEZA.
Sasa nimeamua nihamie kwenye XIAOMI ,wakati naangalia aina ya XIAOMI ya kutumia nikakutana na REDMI NOTE 8 inayouzwa 480,000 na latest REDMI NOTE 9 inayouzwa 520,000 (hii ni kwa mujibu wa duka lao rasmi lililopo pale China plaza ,floor ya 2)...
Sasa wakati naangalia specs nikashangaa kuona NOTE 9 inatumia Mediatek wakati NOTE 8 inatumia Snapdragon,.!
View attachment 1713821
Na jinsi watu wanavyoiponda mediatek humu nimeona niulize kabla ya kuchukua maamuzi...
ipi ni bora.?????
Nilikuwa natumia Samsung A30, ambayo nilinunua mwaka juzi ,nilipanga mwaka huu ninadilishe..
bahati mbaya jana nikiwa na mashkaji tunapiga mambo niliidondosha, haifanyi kazi kwenye screen, ofcourse huwa situmii screen protector hivyo tangu muda imepasuka kioo, ila jana kioo kiliachana na simu, SITAKI KUITENGENEZA.
Sasa nimeamua nihamie kwenye XIAOMI ,wakati naangalia aina ya XIAOMI ya kutumia nikakutana na REDMI NOTE 8 inayouzwa 480,000 na latest REDMI NOTE 9 inayouzwa 520,000 (hii ni kwa mujibu wa duka lao rasmi lililopo pale China plaza ,floor ya 2)...
Sasa wakati naangalia specs nikashangaa kuona NOTE 9 inatumia Mediatek wakati NOTE 8 inatumia Snapdragon,.!
View attachment 1713821
Na jinsi watu wanavyoiponda mediatek humu nimeona niulize kabla ya kuchukua maamuzi...
ipi ni bora.?????