Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema, Bavicha na BawachaNaomba tufanye tathimini isiyo rasimi kupitia mtandao huu wa JamiiForums juu ya namna gani wananchi wanawachukulia wanasiasa wa kizazi cha leo kuwalinganisha na wale wa kiza cha Mwalimu Nyerere, mtu alieacha kazi ya ualimu na kwenda kupigania uhuru wa Taifa hili kazi ambayo kama sikosei, haikuwa na masilahi manono kama ya kuwa mwalimu kwa wakati huo.
Swali:Kati ya wanasiasa kumi tulionao leo hii, ni wanasiasa wangapi walau tunaweza kuwalinganisha na wanasiasa wa kizazi cha mwalimu?
Kwa maneno mengin, ni wanasiasa wangapi kati ya wanasiasa kumi wa leo hii walio tayari kuweka mbele masilahi ya wananchi naTaifa kwa ujumla kuliko masilahi yao binafsi?
Acha wivu mkuu mbona mm, hujaniweka kwenye hiyo list-Jaji Mkuu
-Pinda
-Mnyika
-Lowassa
-Dr Shein
-Hussein Mwinyi
-Gharib Bilal
Kuleta swali hakuninyimi haki ya kutoa mtazamo wangu.Sasa umeuliza swali la nn wakati kumbe tayari una list yako.
Mpaka sasa Poll inaonyesha watu hawana tena imani na wanasiasa wa kitanzania.Hakuna narudia hakuna Mwanasiasa yeyote wa aina ya Nyerere kwny upande wa kutoabudu Tumbo