godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Huu ni uzi chonganishi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Nashauri uondolewe!
Bunda ndo umekuona shamba sio?Wewe unaishi Bunda vijijini mambo ya Ukonga, Dar Slums unayajulia wapi?
Hivi ukisema hayo matukio yametokea Bunda, au Musoma mjini au Bugarika Mwanza kwa wakurya wenzako, utakuwa umepungukiwa na nini?..
Be proud of where ur coming from.
Huyo mtoa mada hana ujanja huo.Kuwen makin na mtoa mada myb anachunguza uwezo was majeshi yetu
KabisaHuyo mtoa mada hana ujanja huo.
mimi nawapa kichapo wote kuanzia wewe popoma mleta mada mpaka hao wanajeshi na ffu wako
Weweeee! usjiamini kupita kiasi. Nadhani hujawahi kukutana nao wakitoa doso, Lakini iko siku utaingia mikononi mwao
ninachowapendea mp sio wachoyoo, wanakwambia umekula? ukisema hapana wanakupa msosi ndo uanze gambeNina Rafiki yangu mmoja ni Dereva wa Dala Dala Juzi nadhani ‘ alikengeuka ‘ na akapita njia isiyoruhusiwa ya JW na bahati nzuri Gari lake lilikuwa halina Abiria na alipokamatwa nao wala hawakumpiga ila kulikuwa na Uwanja wa Mpira pembeni wakamuuliza kama Gari yake ina Mafuta ya kutosha na aliposema haina wakamuongezea na ikajaa ‘ Full Tank ‘ na akaambiwa auzunguke huo Uwanja kwa Spidi ya Magari ya Mashindano ya ‘ Langa Langa ‘ hadi yale Mafuta yaishe na akatii ‘ Amri ‘ na baadae wakamuachia ila sasa hivi kila akikaa tu anasema anasikia ‘ Kizunguzungu ‘ na harufu ya ‘ Petroli ‘ inatawala Puani na Ubongoni mwake.
Ni jana tu Rafiki yangu mmoja Mmachinga akiwa maeneo ya Ukonga nadhani nae labda ‘ alikengeuka ‘ akawa anapita eneo la FFU huku akiwa anapiga Kelele za Kutangaza Nguo zake alizobeba kumbe alikuwa ameingia sehemu isiyotakiwa Kelele na walipomkamata wala hawakumpiga ila alipewa Kazi ya Kukata Michongoma kwa Kutumia Mkasi wa Kunyolea Ndevu na ule wa Mafundi Cherehani zoezi ambalo hadi leo hajalikamilisha labda atalikamilisha Wiki ijayo.
Je kati ya MP na FFU nani ni ‘ Mafundi ‘ wa Kutoa Adhabu?
Nawasilisha.
Bora ungeuliza MP na Askari Magereza nani anagawa kanyampasila za kutosha kidogo swali lingeelewekaNina Rafiki yangu mmoja ni Dereva wa Dala Dala Juzi nadhani ‘ alikengeuka ‘ na akapita njia isiyoruhusiwa ya JW na bahati nzuri Gari lake lilikuwa halina Abiria na alipokamatwa nao wala hawakumpiga ila kulikuwa na Uwanja wa Mpira pembeni wakamuuliza kama Gari yake ina Mafuta ya kutosha na aliposema haina wakamuongezea na ikajaa ‘ Full Tank ‘ na akaambiwa auzunguke huo Uwanja kwa Spidi ya Magari ya Mashindano ya ‘ Langa Langa ‘ hadi yale Mafuta yaishe na akatii ‘ Amri ‘ na baadae wakamuachia ila sasa hivi kila akikaa tu anasema anasikia ‘ Kizunguzungu ‘ na harufu ya ‘ Petroli ‘ inatawala Puani na Ubongoni mwake.
Ni jana tu Rafiki yangu mmoja Mmachinga akiwa maeneo ya Ukonga nadhani nae labda ‘ alikengeuka ‘ akawa anapita eneo la FFU huku akiwa anapiga Kelele za Kutangaza Nguo zake alizobeba kumbe alikuwa ameingia sehemu isiyotakiwa Kelele na walipomkamata wala hawakumpiga ila alipewa Kazi ya Kukata Michongoma kwa Kutumia Mkasi wa Kunyolea Ndevu na ule wa Mafundi Cherehani zoezi ambalo hadi leo hajalikamilisha labda atalikamilisha Wiki ijayo.
Je kati ya MP na FFU nani ni ‘ Mafundi ‘ wa Kutoa Adhabu?
Nawasilisha.
Pumbavu Sina akili kabisa ha ha hapo ndio nimejua wewe ni wa aina gani, move on bro mwezi naona mchanga saa hiziPumbavu hivi nilivyouanzisha huu 'Uzi' kuna mahala popote pale nimewataka au nimewalazimisha muufungue na muusome? Hauna Akili kabisa!!!
Bora ungeuliza MP na Askari Magereza nani anagawa kanyampasila za kutosha kidogo swali lingeeleweka
Wewe umezuiwa kuanzisha 'Uzi' wa Kulijadili au Kulizungumzia hilo? Pumbavu!Bora ungeuliza MP na Askari Magereza nani anagawa kanyampasila za kutosha kidogo swali lingeeleweka
Sindano imeshapenya mahala pake na ndiyo maana sasa 'unaweweseka' hivi nami. Hebu nitokee hapa 'Mpuuzi' mkubwa Wewe. Dozi imekuingia!!!Pumbavu Sina akili kabisa ha ha Apo ndo nmejua we Ni wa aina gani,move on bro .mwezi naona mchanga saiz
Mkuu kuna masharti ya kuchangia uzi humu?Wewe umezuiwa kuanzisha 'Uzi' wa Kulijadili au Kulizungumzia hilo? Pumbavu!
Wale wanadili na watu walioshindikana 100%, FFU wanadili na raia tu wa kawaidaIle special force ya magereza ni hatari nadhani basi tu kwakua hawajioneshi lakini kwenye kugawa dozi wako vizuri mno wali jamaa
Dozi imeniingia 😁😁 aisee, wewe jamaa utakuwa na shida kubwa ya kisaikolojia mpuuzi mkubwa Mimi ha ha ok bravo. Acha nikupe ushindi ila nakusikitikia labda Kuna mtu anatumia avatar yakoSindano imeshapenya mahala pake na ndiyo maana sasa 'unaweweseka' hivi nami. Hebu nitokee hapa 'Mpuuzi' mkubwa Wewe. Dozi imekuingia!!!
Kuna Masharti ya 'Kupangiana' aina ya 'Uzi' wa Kuanzisha hapa JamiiForums? Hopeless kabisa Wewe. Hebu achana na Mimi usije 'kuyakoga' zaidi.Mkuu kuna masharti ya kuchangia uzi humu?
https://jamii.app/JFUserGuide off na uzi wakoKuna Masharti ya 'Kupangiana' aina ya 'Uzi' wa Kuanzisha hapa JamiiForums? Hopeless kabisa Wewe. Hebu achana na Mimi usije 'kuyakoga' zaidi.
Ninachojua tu ni Kwamba 'Kombora' langu nimelielekeza mahala sahihi kwa 'Adui' na limeshamuangamiza vya kutosha na sasa 'unaweweseka' tu.Dozi imeniingia 😁😁 aisee ,we jamaa utakuw na shida kubwa ya kisaikolojia.mpuuzi mkubwa Mimi ha ha ok bravo.acha nikupe ushindi ila nakusikitikia labda Kuna mtu anatumia avatar yako