JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Kuna dada nilikuwa naye akaniacha akaenda kuzaa na jamaa mmoja ana watoto kibao na wadada kibao, akaachana huko leo ana maisha magumu atamani anitafute nimpe hata hela ya kula ila aibu imemjaa.
Halafu kuna dada ana mtoto amezaa na jamaa yake wa miaka mingi niko nae ila jamaa bado haja move on kila siku drama.
Sasa dada jipya dogo kalazwa billi kubwa dada jipya lawama kwangu na jamaa yake anadai hana hela nahisi anataka kisa niko na dada nigharamie billi ya mwanae.
Nahisi ndo muda nitumie hii opportunity ku move on to the next na kuwapa wazazi wa huyu mgonjwa nafasi ya kurudiana.
Halafu kuna dada ana mtoto amezaa na jamaa yake wa miaka mingi niko nae ila jamaa bado haja move on kila siku drama.
Sasa dada jipya dogo kalazwa billi kubwa dada jipya lawama kwangu na jamaa yake anadai hana hela nahisi anataka kisa niko na dada nigharamie billi ya mwanae.
Nahisi ndo muda nitumie hii opportunity ku move on to the next na kuwapa wazazi wa huyu mgonjwa nafasi ya kurudiana.