tongelao
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 775
- 2,125
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo huyu huyu nadhaniHahah hiyo Avatar inanikumbusha jamaa yangu mmoja M Saranga sijui kapotelea wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemkumbuka mtani wangu Patience123Kwanini umebadilisha jina mkuu? Kuna mwanamama alikuwa anaitwa Jimena na Patience123 unawakumbuka? Wako humu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemkumbuka mtani wangu Patience123
Haha, mkuu alikuwa rafiki wa mitandaoni tu huyu.Hahaha huyu mtani ulitaka kumtafuna aisee ngoja nikakutafute kule kwenye kula kimasihara huenda umeweka story yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi sikia mziki wa kuuza Brevis mkuu?Ractis,Porte,Passo haya ni Vimeo Ila Kwa muonekano wengi wanaingia mkenge kuyanunua..
Hata Kwenye kuuza lazima utaabike zaidi ya miezi 6 ndipo ufanye biashara tofauti na mnyama raum hii gari ni zaidi ya Ractis mara 50
Wenyewe madalali wanaita NDOA YA KIKRISTO maana ukishakuwa na brevis unafunga nayo NDOAUshawahi sikia mziki wa kuuza Brevis mkuu?
Hahaha aaaa...Hahaha huyu mtani ulitaka kumtafuna aisee ngoja nikakutafute kule kwenye kula kimasihara huenda umeweka story yake
Sent using Jamii Forums mobile app
I miss you mtani...Haha, mkuu alikuwa rafiki wa mitandaoni tu huyu.
Duh, upo mumy? I really miss you mtani, usipotee hivi bwana...I
I miss you mtani...
Nipo Mtani wangu, kuna siku niliku pm nahisi kama hukuona pm yangu.Duh, upo mumy? I really miss you mtani, usipotee hivi bwana...
Niko poa mtani, ilà hiyo pm hata sikuiona, hem tuma tenaunajua napenda sana kusoma mwandiko wakoNipo Mtani wangu, kuna siku niliku pm nahisi kama hukuona pm yangu.
Naamini uko poa Mtani wangu.
Vip.mark x zion ,mkuu naweza kupata kwa ngapi na vip kuhusu usumbufu wakeraum mkuu toyota ractis huwa zinasumbua sana gear box hasa kwenye mfumo wa gia
karibu sana jerry empire tukupatie gari ya ndoto yako kwa gharama nafuu na zenye ubora tupo ilala dar es salaam
0623953036
0659756647
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi sikia mziki wa kuuza Brevis mkuu?
Mkuu unatumia vigezo gani kusema raum ina bati gumu zaidi ya ractis?umepimaje huo ugumu?
Hizo gari zote ni nzuri ila inategemea wewe utaipenda ipi..
Ractis mara nyingi huwa na CC 1290 to 1300,ila Raum huwa na Cc 1480 japo zipo chache zenye cc 1300.Hivyo consumption ya mafuta Ractis iko vizuri zaidi ya Raum.
Comfortability zote ziko Bomba kabisa sioni inayomzidi mwenzake.
Raum ina automatic door ambao ni Mwepesi sana kuharibika kama ukivutwa vibaya.
Zote ni ngumu na zinastahimili mazingira mabovu ya barabara zetu.
Ractis ni Push to Start ila Raum unakomaa na funguo..
Raum Spare zake zinapatikana kiurahisi Sana na ukiwa dereva mzuri ni ngumu kuharibika
Sent using Jamii Forums mobile app