Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,559
Acha kudanganya watu kuwa zinasumbua gear box huo ni ushamba na ulimbukeni.Hizi gar Ractis wabongo wanazikosea oil zake tu wanapenda kitonga.Ila ukiwa makini kuweka oil yake gari haisumbui yaan gari isisumbuwe japani ije kusumbuwa bongo huoni kama kuna tatizo.Acheni kutisha watu.raum mkuu toyota ractis huwa zinasumbua sana gear box hasa kwenye mfumo wa gia
karibu sana jerry empire tukupatie gari ya ndoto yako kwa gharama nafuu na zenye ubora tupo ilala dar es salaam
0623953036
0659756647
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app