Kati ya Tandika, Buguruni na Mwananyamala ipi inaongoza kwa kuwa na Masela wa Kutukuka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Napenda sana kuishi maeneo ambayo kuna Masela wengi wa Kutukuka ili nikaishi nao kutoka hapa ninapoishi sasa ambapo kuna Mabishoo na Wanabana pua Watupu ambao Kwangu Mimi naona hawana faida Kwangu zaidi tu ya kila mara kupiga stori za akina Marioo na za akina Diamond na Kiba.

Nimedokezwa na Mtu kuwa ukitaka kufanikiwa haraka sana kimaisha basi jaribu angalau tu kukaa maeneo yenye Masela ( Wahuni / Watoto wa Mjini ) kwani hawa Watu ukiondoa tu hizo tabia zao za Kitukutu ila wana akili nyingi za kuyajua maisha na kuona fursa ya kupambana Kimaisha hivyo nimeshawishika kutaka kuishi nao karibu.

Je kati ya Tandika, Buguruni na Mwananyamala ambako ndiko kuna Masela wengi ni wapi kumezidi kuwa wengi ili leo hii hii nikampe Kazi Dalali anitafutie huko Chumba nihamie huko nami nikatiririke na niserereke nao?

Nawasilisha na nitashukuru nikijibiwa.
 
Napenda sana kuishi maeneo ambayo kuna Masela wengi wa Kutukuka ili nikaishi nao kutoka hapa ninapoishi sasa ambapo kuna Mabishoo na Wanabana pua Watupu ambao Kwangu Mimi naona hawana faida Kwangu zaidi tu ya kila mara kupiga stori za akina Marioo na za akina Diamond na Kiba.

Nimedokezwa na Mtu kuwa ukitaka kufanikiwa haraka sana kimaisha basi jaribu angalau tu kukaa maeneo yenye Masela ( Wahuni / Watoto wa Mjini ) kwani hawa Watu ukiondoa tu hizo tabia zao za Kitukutu ila wana akili nyingi za kuyajua maisha na kuona fursa ya kupambana Kimaisha hivyo nimeshawishika kutaka kuishi nao karibu.

Je kati ya Tandika, Buguruni na Mwananyamala ambako ndiko kuna Masela wengi ni wapi kumezidi kuwa wengi ili leo hii hii nikampe Kazi Dalali anitafutie huko Chumba nihamie huko nami nikatiririke na niserereke nao?

Nawasilisha na nitashukuru nikijibiwa.
bwana weee usijishaueee hapaa eti unatakaa masela wa kutukukaa semaa huna helaa za kukaa hayo maeneo ya wabana puaaa sehwmu ukizotajaa vyumbaa vinaanzaa ishirin na tano ndo maana unataka kuhamiaa usisinhizie maselaa
 
Napenda sana kuishi maeneo ambayo kuna Masela wengi wa Kutukuka ili nikaishi nao kutoka hapa ninapoishi sasa ambapo kuna Mabishoo na Wanabana pua Watupu ambao Kwangu Mimi naona hawana faida Kwangu zaidi tu ya kila mara kupiga stori za akina Marioo na za akina Diamond na Kiba.

Nimedokezwa na Mtu kuwa ukitaka kufanikiwa haraka sana kimaisha basi jaribu angalau tu kukaa maeneo yenye Masela ( Wahuni / Watoto wa Mjini ) kwani hawa Watu ukiondoa tu hizo tabia zao za Kitukutu ila wana akili nyingi za kuyajua maisha na kuona fursa ya kupambana Kimaisha hivyo nimeshawishika kutaka kuishi nao karibu.

Je kati ya Tandika, Buguruni na Mwananyamala ambako ndiko kuna Masela wengi ni wapi kumezidi kuwa wengi ili leo hii hii nikampe Kazi Dalali anitafutie huko Chumba nihamie huko nami nikatiririke na niserereke nao?

Nawasilisha na nitashukuru nikijibiwa.

Tandika.......pako vizuri wengi ni wa wakuja na kuondoka.Tatizo kubwa ni uswahilini,kuibiwa vitu vyako ghetto ni jambo la kawaida.

Mwanamyamala.....pako vizuri,sema tu kila kijana anajiona ni mjanja kuliko mwenzake/mtoto wa mjini,dawa za kulevya ndio balaa zaidi.Vijana wako radhi kutumia vidonge vya usingizi kwenye chai ya rangi a.k.a vinturi ili walipuke/wawake.

Buguruni.......pako vizuri sema kuna wahuni wengi wakabaji na waporaji,starehe za kila aina ndio mahala pake.

Anyway endelea kuishi mahala ulipo,cha kufanya ni kuwarekebisha hao masela/wabana pua IPO siku watabadilika.
 
bwana weee usijishaueee hapaa eti unatakaa masela wa kutukukaa semaa huna helaa za kukaa hayo maeneo ya wabana puaaa sehwmu ukizotajaa vyumbaa vinaanzaa ishirin na tano ndo maana unataka kuhamiaa usisinhizie maselaa

Ha ha ha ha ha ha Mkuu. Umeua Mtu wangu na Shikamoo!
 
Kuanzia studio kuja mwananyamala ulizia tolu mbabe.. Uliza wapiga debe wa studio wote hadi mwananyamala watakuleta hadi kwangu.
Ila tu kama una nia ya kuja kuishi na masela huku.

Siku hizi hakuna kukaba watu. Fursa ni kuokota makopo
Tall mbabe ndio yule Rama tall aliyewahi kwenda kukaba sauzi proffessionaally kazi ikamshinda akaamua kurudi bongo?
 
Oya mbona sasa hamnipi majibu kamili wapi kuna Masela zaidi ili nikakae nao na naona sasa kila Mtu tu anapasifia Uswazinyo anakoishi. Napenda mno kukaa na Masela / Wahuni / Watoto wa Mjini sana kwani wana vitu vingi sana vizuri ambavyo ukiwa POPOMA uliyetukuka huwezi kuvigundua kutoka Kwao. Nipeni tu jibu moja je nikaishi Tandika au Buguruni au Mwananyamala? Tiririkeni na sererekeni tafadhalini.
 
Kigogo kuna chafu kibao yaani kule mtoto wa miaka 13 anakushikia panga mchana kweupe vitoto wanakuchukulia dogoli .

Ndio singeli ilipotokea na makundi ya wahuni kibao kaa mbali na kigogo ase kuna vichwa vigumu hatari

Usela wa panya road ndio ulianzia kigogo ukatapakaa sehemu zingine
Dogoli=Kilonga longa =simu ya mkononi kwa wasioelewa.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom