Kati ya Suzuki Escudo na Toyota RAV4 old model gari ipi inafaa katika mazingira magumu?

Nipe 4.5 m nikupe escudo nzuri sana kama mpya.0754279035
IMG-20200506-WA0026.jpeg
IMG-20200506-WA0027.jpeg
IMG-20200506-WA0022.jpeg
 
Nimeivua kwa mchaga mmoja hiv dsm, ingine iko safi kabisa, tumepiga gia wenyewe toka dar mpk njombe na imekubali, service tulichange oil na filter tu.
Ila body lake limechoka Sana itabidi nivalishe body jipya tu. Maana inaingiza vumbi tukiwa barabara za vumbi.
IMG_20201118_122838_7.jpg
 
Escudo ni economic kwenye mafuta, haili mafuta kabisa. Ni gari ambayo nimewaitumia kwa muda mrefu lakini kwa miakaa Kama 8 iliyopita. Nigari ngumu ckuficha, spare zake bei nafuu mtu wa kawaida una muda kabisa.

Sema Sina uwakika kwa Sasa kwenye suala LA spares zake.. Escudo ni gari ya zamani,.sijajua spares Naona haziagizwi Sana siku hizi, nyingi unazoziona ni za zamani.

Ila nikuhakikishiee Kama Wewe ni mkazi WA Dar es Salaam. Spares huwezi kosa zitakuwepo.

Kwa gari ya rava 4 old model ni ngumu Sana, Ila zinakula mafuta sana Labda upate ya diesel naiwe manual transmission
Umetisha mkuu. Sitii neno.
 
Hio Escudo massawe nimemuuzia mtu juzi. Ina engine ya cc1566 kitu kama 1600cc haili wese so ipo njema. Gari hizo ziko nyingi huku Moshi. Wachaga wanazipenda sana maana ndio gari ambazo wengi wamekuwa nazo toka zikiwa kwa wazazi.

Kuhusu spare zipo ila sio zote zinapatikana kirahisi maana ni gari ya kizamani hivyo imeshakuwa phased out sokoni. Watu wanaagiza zaidi ile model mpya yake.
Wamakonde tumetengwa kwenye umiliki wa magari nchini
 
Back
Top Bottom