dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
Mimi si mjuzi wa upande huu lakini najua tunao wabobezi hapa.
Jamaa yangu anauliza ajiweke wapi pazuri zaidi kati ya Gari hizo tajwa?
Ufafanuzi wa faida na hasara zinazozitofautisha hizi tafadhali kwa anaezijua haswa na ushauri wowote
Mchango wako chanya utashukuriwa.
Jamaa yangu anauliza ajiweke wapi pazuri zaidi kati ya Gari hizo tajwa?
Ufafanuzi wa faida na hasara zinazozitofautisha hizi tafadhali kwa anaezijua haswa na ushauri wowote
Mchango wako chanya utashukuriwa.