WANACHANGIA SABABU ZIMEBEZI KWENYE NGONO NA SIASA CHOCHEZI (kwa ujumla post zinazochangiwa humu JF) ANDIKA KUHUSU ...ELIMU....UCHUMI...MAENDELEO...MALEZI....UZALENDO UONE KAMA ZITACHANGIWA VYA KUTOSHA (just do that simple research)
Hizi handbag za kina dada hizi!!?
Je ni 7bu zipi zimepelekea post hii kuchangiwa?naomba kuwakilisha.
Right place in a right time!!
Unachangia Elimu na Uchumi kwenye Jukwaa Siasa?
Unachangia Maendeleo na Uzalendo kwenye Jukwaa la Lugha?
Najaribu kupiga mahesabu naona watumiaji makini wa JF, Mods, Founder na administrators kwa ujumla ni Ma great thinkers wa ukweli. Hupendi habari za Mahusiano nenda zako huko kwenye siasa, hupendi siasa nenda zako huko kwenye technology hata kama hujaona pa kukufaa sio lazima kukaa huku nenda facebook na kwingine. Ili mradi tu uwe na uhuru wa akili na nafsi yako.
Halafu na wewe bwana, hii tathimini ya kwa nini thread imechangiwa? Mmmmh mbona zingine zinachangiwa kuliko hata hio? Anyway........
Right place in a right time!!
Unachangia Elimu na Uchumi kwenye Jukwaa Siasa?
Unachangia Maendeleo na Uzalendo kwenye Jukwaa la Lugha?
Najaribu kupiga mahesabu naona watumiaji makini wa JF, Mods, Founder na administrators kwa ujumla ni Ma great thinkers wa ukweli. Hupendi habari za Mahusiano nenda zako huko kwenye siasa, hupendi siasa nenda zako huko kwenye technology hata kama hujaona pa kukufaa sio lazima kukaa huku nenda facebook na kwingine. Ili mradi tu uwe na uhuru wa akili na nafsi yako.
hujambo LD?
Bora wewe umeianza asubuhi (huku kwetu) na kikombe cha kahawa!!!!!!!
WANACHANGIA SABABU ZIMEBEZI KWENYE NGONO NA SIASA CHOCHEZI (kwa ujumla post zinazochangiwa humu JF) ANDIKA KUHUSU ...ELIMU....UCHUMI...MAENDELEO...MALEZI....UZALENDO UONE KAMA ZITACHANGIWA VYA KUTOSHA (just do that simple research)
Wasipochangia utalalamika duh
Hizi handbag za kina dada hizi!!?
Je ni 7bu zipi zimepelekea post hii kuchangiwa?naomba kuwakilisha.
Kufilisika kote kunaruhusiwa, lakini mtu anapofilisika kimawazo, MWONEE HURUMA!Hizi handbag za kina dada hizi!!?
Je ni 7bu zipi zimepelekea post hii kuchangiwa?naomba kuwakilisha .
Kufilisika kote kunaruhusiwa, lakini mtu anapofilisika kimawazo, MWONEE HURUMA!
I cant imagine mtu unapandisha thread kama hii kwa watu...my private parts!!!!:A S 20:...:A S thumbs_down:
Unataka nini?,... mchango gani...usaidiwe nini...ujibiwe nini...unafundisha nini?...Anyway, huenda ndio sababu sikuisoma kabisa hiyo thread, i just found that nilikuwa naipita tu, and today i see the aftermath..!Thanx God!