Redmi 9 nzuri zaidi, ina Full HD display na pia Helio G80 ni nzuri kuliko SD 460.Kati ya hizo 2 ipi ya kuipa kipaumbele?
OnePlus n100 na redmi 9
Gharama ya Redmi 9T ni kama shngap hv?Redmi 9 nzuri zaidi, ina Full HD display na pia Helio G80 ni nzuri kuliko SD 460.
Sema Angalia Redmi 9T sometime inakuwa bei sawa na redmi 9, 9T ni nzuri zaidi.
300k mpaka 350kGharama ya Redmi 9T ni kama shngap hv?
Redmi 9 nzuri zaidi, ina Full HD display na pia Helio G80 ni nzuri kuliko SD 460.
Sema Angalia Redmi 9T sometime inakuwa bei sawa na redmi 9, 9T ni nzuri zaidi.
Seller gani anauza bei hiyo?300k mpaka 350k
Mcheki njiwa flow TwitterSeller gani anauza bei hiyo?
Naomba link kama hutojali.
Kenya Mkuu Jumia ama avechi unapata hio bei.Seller gani anauza bei hiyo?
Naomba link kama hutojali.
Kuna msemo ukila Nguruwe chagua alienona,Apa wale wapenzi wa SD lazima wakurushie mawe
Huwezi fananisha MTK na SD
Hv hizi si ndio zile line ya Tigo inakua na nguvu zaidi??Kenya Mkuu Jumia ama avechi unapata hio bei.
Ila Tigoshop walishusha bei za Redmi, Jaribu kucheki kama 9T ilishuka, maana redmi 9 ni 280k tu Tigoshop.
Labda wawe wamebadili sasa hivi ila redmi za Tigo hazina lock, unaweka line yoyote unayotaka. Ni kama unanunua tu Dukani.Hv hizi si ndio zile line ya Tigo inakua na nguvu zaidi??
mkuu nahitaji kunununua redmi note 10 pro kwa kutumia avechi....upande wa manunuz unanipa shida kidg na nataka ninunue leo kesho ama jumamos niipate...msaada tutaniLabda wawe wamebadili sasa hivi ila redmi za Tigo hazina lock, unaweka line yoyote unayotaka. Ni kama unanunua tu Dukani.
Mkuu umekwama wapi?mkuu nahitaji kunununua redmi note 10 pro kwa kutumia avechi....upande wa manunuz unanipa shida kidg na nataka ninunue leo kesho ama jumamos niipate...msaada tutani
Tigo nimechek kweny web yo ni 750 wakat kenya ni laki 6 hiv na kitu pamoja na usafiri...Mkuu umekwama wapi?
Nilisoma wadau humu wanasema wanaleta kwa 2500 (50,000 fee)
Pia umeangalia Tigoshop? Redmi ni bei rahisi sana Tigo, sometime rahisi kuliko Kenya.