James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Habazi zenu wana Jamii Forums popote pale mlipo. Leo nina swali naombeni maoni yenu. Pia usisahau kupiga kura kuonyesha chaguo lako.
Kati ya nyimbo hizi mbili, 'Mungu Ibariki Tanzania ' na 'Tazama Ramani', ipi ingefaa zaidi kuwa nyimbo ya Taifa?
Mimi binafsi naona kama 'Tazama Ramani' ingefaa zaidi kwasababu kubwa mbili. Kwanza nyimbo hii imetungwa na Mtanzania mwenzetu. Pili, iko tofauti na nyimbo za taifa za South Africa na Zambia. Mapigo ya nyimbo za taifa za nchi hizi mbili yanafanana na ya kwetu ila maneno tu ndio tofauti. Binafsi ningejisikia fahari zaidi kuwa na nyimbo ya taifa ya aina ya pekee bila kuchangia na nchi nyingine na iliyobuniwa na mtu wetu.
Toa maoni yako tafadhali. Halafu naomba msianze kutukanana, huu ni mjadala wa kitaifa mambo ya chama hayana nafasi hapa.
MOD NAOMBA UMFUNGIE KWA MUDA USIOJULIKANA MTU YEYOTE ATAKAYEANZA KUNYOOSHEANA KIDOLE CHA KATI NA ADUI YAKE.
Kati ya nyimbo hizi mbili, 'Mungu Ibariki Tanzania ' na 'Tazama Ramani', ipi ingefaa zaidi kuwa nyimbo ya Taifa?
Mimi binafsi naona kama 'Tazama Ramani' ingefaa zaidi kwasababu kubwa mbili. Kwanza nyimbo hii imetungwa na Mtanzania mwenzetu. Pili, iko tofauti na nyimbo za taifa za South Africa na Zambia. Mapigo ya nyimbo za taifa za nchi hizi mbili yanafanana na ya kwetu ila maneno tu ndio tofauti. Binafsi ningejisikia fahari zaidi kuwa na nyimbo ya taifa ya aina ya pekee bila kuchangia na nchi nyingine na iliyobuniwa na mtu wetu.
Toa maoni yako tafadhali. Halafu naomba msianze kutukanana, huu ni mjadala wa kitaifa mambo ya chama hayana nafasi hapa.
MOD NAOMBA UMFUNGIE KWA MUDA USIOJULIKANA MTU YEYOTE ATAKAYEANZA KUNYOOSHEANA KIDOLE CHA KATI NA ADUI YAKE.