Kati ya nyama ya mbuzi, ng'ombe, kuku na ' kitimoto ', ipi ni nyama pendwa sana duniani kote ?

Inategemeana na mapishi!

Niliwahi kula tofari la nyama ya ng'ombe ya kusagwa ni tamu sana kuliko nyama nyingine nilivyohisi wakati nikila siku hiyo.

Haya ma nyamanyama nadhani ni ujuzi wa mapishi na maandalizi tu. Hakuna iliyotamu kuliko nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20180914-203709.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom