Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Bulldog na Bavaria ni mapacha ?
Kwa hiyo ulitaka awataje aukuwa specific, kwenye "electrical/electronic" huwa zina tatizo gani? wakina nani hao walolizwa? wamelizwa vipi?...au ndiyo kukariri?
Nimeongeza BMW na Marcedes BENZ
Mkuu Mimi ninapendelea Sana range sport,but siku za hivi karibuni nimejikuta naipenda zaidi Jaguar F-pace.Majibu yatakuwa kulingana na driving experience.
Sikushauri uchukue gari mpya hasa kama unaishi Afrika, Tanzania.Mkuu Mimi ninapendelea Sana range sport,but siku za hivi karibuni nimejikuta naipenda zaidi Jaguar F-pace.
Ebu niambie kama huyo jaguar itanifaa ukizingatia nimeoa milimani Lushoto na kwetu Ni Bunda-Mara ingawa naishi Dar.So rikizo zitanihusu Sana.
Ukweli mtupu.Range rover ni nzur kwa takeoff ya kukimbia na kuchanganya kwa haraka kuzidi nissan na land cruseir tena range rover iwe supercharger ni noma sana na range rover wametoa gari lingine mwaka huu ina engine ya SVR ni noma coz nw hawatengenezi izo superchager nw ni SVR ninoma kwa speed bt nissan ni nzur imebase kwa range rover technology nayo inawai kuchanganya sana na speed sana kuliko cruiser bt kwa bongo land cruiser n ni mwisho wa matatizo upate twin turbo petrol ni noma man yani inaenda sana na land cruiser naipendea offland hakuna mtu anaweza kwenda nae hapo kati ya range rover na nissan
Kwa choice yangu coz niko bongo ningechukua land cruiser naipenda sana coz ni nzur kwa offroad na speed siyo baya,kama unapenda mbwembwe chukua range rover na nissan lakin cruiser noma ww
LAND CRUISER VX V8 TWIN TURBO PETROL NI NOMA SICHUKUI UCHAFU WA ENGLAND NA MJAPAN NISSAN
Siyo kweli LAND CRUISER VX V8 PETROL TWIN TURBO hakuna hicho kitu , iliyopo ni V8 DIESEL TWIN TURBO.Ukweli mtupu.
Mbaya zaidi wengi wetu hatuwezi hata kununua vitz, acha tuendelee kuota.
Kweli ni diesel mkuu nilikoseaSiyo kweli LAND CRUISER VX V8 PETROL TWIN TURBO hakuna hicho kitu , iliyopo ni V8 DIESEL TWIN TURBO.
itakuwa ni Toyota highlander, kwa jina jingine ni Kluger ya mwaka 2016/17Hii ndo nini?
Range Rover inaongoza ikifuatiwa na Land Cruiser VX V8 ya petrol. Nissan Patrol ni cha mtoto kwa hizo nyingine. Tatizo kubwa la Nissan Patrol ni kupoteza nguvu wakati wa kupanda mlima. Kiboko ya Nissan ni milima, yaani mpaka utaihurumia, haiendi kabisa.
Tiba