Kati ya Mwenza wako na ndugu zako ni yupi mwenye uchungu na wewe?

Sio kwamba inategemea!??

Je ikitokea kati ya mke kuna mapenzi ya kweli!??bado utasema ndugu atakuwa na uchungu zaidi!??

Mfano mke na mume waliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka 20
Jana nilisikia kisa kimoja clouds fm kuwa mwanaume alikuwa anaishi na mwanamke lkni hawakufunga ndoa baadae mwanaume akaanza kuumwa na mwanamke ndie aliyemhudumia mwanaume mpka akafariki..so mwanaume Aliuona moyo na msaada wa yule dada akasema siku akifariki mwanamke achukue vitu vya ndani vimsaidie kuanza maisha maana ndivyo vitu alivyobakiza pekee baada ya kujiuguza kwa muda...

Na hapo ndugu zake walikuwepo lkni mtu Baki (mwanamke ndie kaonesha upendo)so ukitoa watoto...mtu yeyote anaekupenda,kukuthamini na kukujali ndie atakuwa na uchungu na wewe kwa wakati huo.
 
Jana nilisikia kisa kimoja clouds fm kuwa mwanaume alikuwa anaishi na mwanamke lkni hawakufunga ndoa baadae mwanaume akaanza kuumwa na mwanamke ndie aliyemhudumia mwanaume mpka akafariki..so mwanaume Aliuona moyo na msaada wa yule dada akasema siku akifariki mwanamke achukue vitu vya ndani vimsaidie kuanza maisha maana ndivyo vitu alivyobakiza pekee baada ya kujiuguza kwa muda...

Na hapo ndugu zake walikuwepo lkni mtu Baki (mwanamke ndie kaonesha upendo)so ukitoa watoto...mtu yeyote anaekupenda,kukuthamini na kukujali ndie atakuwa na uchungu na wewe kwa wakati huo.
Kweli kabisa Including marafiki ryt!??
Maana kuna marafiki wana upendo wa kweli kuzidi hata ndugu..
 
1. Mungu
2. Mzazi
3. Mke/ Mume
4. Watoto.

Mungu anauchungu zaidi na wewe kuliko yoyote.
Mzazi ndiye anayefuatia kwa uchungu na wewe.
Mke/Mume anashika nafasi ya tatu, huyu kama akikupenda anaweza shika nafasi ya pili baada ya Mungu.

Watoto wanafuatia, lakini kabla hawajawa na familia, kwa maana wao sijukumu lao kukupenda, jukumu lao ni kuwaheshimu wazazi.

Akitoka Mungu, Mke au Mume ndiye anafuatia kwa uchungu ikiwa anakupenda ili yenyewe achana na hii ya siku hizi.

Wazazi wanaweza wakawa na uchungu na wewe au kukupenda lakini kama mpo watoto wanne kwenu, usishangae yupo mtoto anayempenda au anayesikia uchungu juu yake kuliko wewe.

Mke/ mume ndio kila kitu hapa duniani. Mke/ mume ni mali unayoimiliki, unaowajibu wa kuipenda na kuionea uchungu. Mzazi sio mali yako ni mali ya mamaako/ Babaako.

Mke/ mume unachagua mwenyewe wakati wazazi unachaguliwa, huna maamuzi ya nani awe mzazi wako ila unakuta ushafanyiwa maamuzi.

Mke/mume unachagua kwa utashi wako, maamuzi yako mwenyewe.

Kila mmoja anayonafasi yake lakini usicheze na nafasi ya Mke/mume.
Mke au mume ni habari nyingine, waulize wanaogongewa wake zao au wanaoibiwa waume zao, ndio utajua
 
Wapo waliofanikiwa na kufarijiwa kwenye shida na ndugu zao na pia wapo waliofanikiwa na kufarijiwa na wake/waume zao pale walipokutana na changamoto za hapa na pale. Na pia wapo wengine wanakatishwa tamaa ila upande mwingine unakuwa unawafariji.

Je, katika mazingira hayo, unafikiri kati ya mke/mume na ndugu zako ni yupi mwenye uchungu na wewe; anayetaka ufanikiwe, anayetaka uwe na afya njema siku zote n.k?
Mke ni mama wa pili hivyo elewa umuhimu wa mama na pia mme ni baba wa pili hivyo elewa umuhimu wa baba.
Ukioa ama kuolewa ukatenda sawa na mama au baba anayejitambua utajua nani mhimu.
Mtu anasema ameoa hata mahali hajalipa wewe ni mhuni tu huna mke na huyo hawezi kuwa na uchungu nawe.
Kuoa ni dhana pana all in all mke si ndugu na mke kabeba dhana pana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom