SubTopic
Member
- Sep 15, 2021
- 78
- 88
Katika semina wanazopeana wanawake huwa na msemo huu, ya kuwa mwanaume ni kama mtoto wakiwa na maana ya kwamba ili umuweze mwanaume inakubidi uishi naye kama unaishi na mtoto yani mambo ya kubembeleza n.k
Lakini si kwa wanawake tu hata sisi wanaume tunapokutana kupeana semina huwa tunaambiwa ya kuwa mwanamke ni kama mtoto yani hata ukimletea zawadi ya pipi tu anaridhikika!Uk
Ukweli halisi ni upi? kati ya mwanaume na mwanamke yupi ni kama mtoto? mwanaume au mwanamke?
tusaidiane hapo.
Lakini si kwa wanawake tu hata sisi wanaume tunapokutana kupeana semina huwa tunaambiwa ya kuwa mwanamke ni kama mtoto yani hata ukimletea zawadi ya pipi tu anaridhikika!Uk
Ukweli halisi ni upi? kati ya mwanaume na mwanamke yupi ni kama mtoto? mwanaume au mwanamke?
tusaidiane hapo.