lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,382
Sometime wakinadada mnaboaa.
Watu tunakuwa serious (kuboresha mawasiliano) ila mnaletaga nyodo sana.
Waswahili walisema kubali wito kataa maneno maana yake we toa namba utachagua wewe kumsuport mwamba au la.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu tunakuwa serious (kuboresha mawasiliano) ila mnaletaga nyodo sana.
Waswahili walisema kubali wito kataa maneno maana yake we toa namba utachagua wewe kumsuport mwamba au la.
Sent using Jamii Forums mobile app