xaxa maadili yanini nangai...maadilii ukoo kwenye vicoba na mikataba ya madiniHamna hapo, wwootee hawana maadil
Mkuu angalia, maana hayo huwa ni maruweruwe ya macho au tuseme ni uongo na unafiki wa macho tu.Aliyevalia Suruali ya kubana anavutia zaidi kwakuwa unaweza ukaona Ramani yote ya Jiografia yake nzima ya Kibaiolojia kuanzia Tropiki yake ya Kansa, Kaprikoni na hadi Ikweta yake lakini aliyevalia tu Sketi fupi na ikaishia magotini sana sana utaambulia kuangalia tu Bonde lake la Ufa.
Kwa macho au umeonja kabisa mkuu?Aiseee.
Huu mzigo ni mtamu balaaa
Tena ndo yanakula ya kwanza, wakati mwingine hayapendi kushirikisha viungo vingineMacho nayo yanakula mkuu
Hapa ni kwa wanawake wanene na wenye chura za kutukuka.
Yupi anakuvutia kati ya hao kiasi kwamba ukimuangalia lazima akili ikuruke kidogo kwa jinsi alivyoumbika kwa chura na unene uliotukuka.