Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,829
Tukio linaloendelea Mererani Ni la Bwana Leizer kukabidhi jiwe la kilo sita la Tanzanite.
Naona Mkuu wa Majeshi amehutubia mwanzoni kabisa, Kisha wakafuata wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro, Manyara kisha akafuata Naibu Waziri na Waziri.
Hii kiprotokali imekaaje? Yaani Mkuu wa Majeshi Ni mdogo hata kwa Mkuu wa Mkoa?
Naona Mkuu wa Majeshi amehutubia mwanzoni kabisa, Kisha wakafuata wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro, Manyara kisha akafuata Naibu Waziri na Waziri.
Hii kiprotokali imekaaje? Yaani Mkuu wa Majeshi Ni mdogo hata kwa Mkuu wa Mkoa?