Pilato2006
Senior Member
- Aug 25, 2008
- 124
- 35
Mkapa tutamkumbuka kwa yafuatayo
1 Daraja la Mkapa la kuunganisha mikoa ya kusini
2 Uwanja wa michezo wa kisasa
3 Maji ya ziwa victoria kwenda Shinyanga na Kahama
4 Mabarabara mengi yalijengwa kwa kiwango cha rami
5 Uchumi uliimalika
6 Mfumuko wa bei ulipungua
7 Kodi ziliongezeka
Mh. Kikwete katika miaka 4 tumkumbuke kwa yapi? Orozesha hapa!!!
1 Daraja la Mkapa la kuunganisha mikoa ya kusini
2 Uwanja wa michezo wa kisasa
3 Maji ya ziwa victoria kwenda Shinyanga na Kahama
4 Mabarabara mengi yalijengwa kwa kiwango cha rami
5 Uchumi uliimalika
6 Mfumuko wa bei ulipungua
7 Kodi ziliongezeka
Mh. Kikwete katika miaka 4 tumkumbuke kwa yapi? Orozesha hapa!!!