kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kati ya Mayele na Kagere Una fikiri nani anatisha zaidi?
For me Mayele cause hata asipo funga anaweza kukuzuru pia to get Red card. yellow card or and penalty. Ni msumbufu sana kumchunga inahitaji akili saana kitu ambacho sikihonagi kwa Kagere.
Ayo ni maoni yangu Unaweza towa ya kwako pia Bila kutukana.
For me Mayele cause hata asipo funga anaweza kukuzuru pia to get Red card. yellow card or and penalty. Ni msumbufu sana kumchunga inahitaji akili saana kitu ambacho sikihonagi kwa Kagere.
Ayo ni maoni yangu Unaweza towa ya kwako pia Bila kutukana.