2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Kwanza kabisa tuelewe majukumu ya hawa watu katika sekta zao. Heshima ya Mama haipungui kijana unapooa.
Tunajua umuhimu wa Mama toka amekubeba miezi 9 umezaliwa umekuwa na umejitambua hilo ni jukumu lake na lazima apate heahima kama Mungu alivyoagiza.
Umejitambua unataka sasa kujitegemea,umeanzisha Familia yani umeoa tunajua umuhimu wa Mke. Mke anaendeleza majukumu ya Mama alipoishia tena yakiongezeka mengine mengi zaidi. Kumbuka Mke ni ubavu wako,tukifuata kile Mungu alituambia hatuwezi kulelewa na Mama mpaka kufa kwetu.
Kulingana na migogoro ya kifamilia ya kileo ni nani anastahili upendo zaidi baada ya kujana kuoa?
Ukimpenda sana Mke wako Mama anaona umemtenga baada ya kuoa na huenda akahisi Mke ndio anafanya usimthamini kama mwanzo. Ukimpenda sana Mama Mke anaona ameporwa madaraka na Mama na anaona Mama anataka kumharibia ndoa.
Leo la mada hii ni kila muhusika kujua mipaka yake na kuepuka migogoro isiyo ya lazima.
Binafsi ukishaoa lazima mapenzi yapungue kwa Mama sababu ya majukumu ambayo Mama hawezi kukutimizia tena kwa hiyo
Mama 40% Mke 60%
Karibuni wajumbe
Tunajua umuhimu wa Mama toka amekubeba miezi 9 umezaliwa umekuwa na umejitambua hilo ni jukumu lake na lazima apate heahima kama Mungu alivyoagiza.
Umejitambua unataka sasa kujitegemea,umeanzisha Familia yani umeoa tunajua umuhimu wa Mke. Mke anaendeleza majukumu ya Mama alipoishia tena yakiongezeka mengine mengi zaidi. Kumbuka Mke ni ubavu wako,tukifuata kile Mungu alituambia hatuwezi kulelewa na Mama mpaka kufa kwetu.
Kulingana na migogoro ya kifamilia ya kileo ni nani anastahili upendo zaidi baada ya kujana kuoa?
Ukimpenda sana Mke wako Mama anaona umemtenga baada ya kuoa na huenda akahisi Mke ndio anafanya usimthamini kama mwanzo. Ukimpenda sana Mama Mke anaona ameporwa madaraka na Mama na anaona Mama anataka kumharibia ndoa.
Leo la mada hii ni kila muhusika kujua mipaka yake na kuepuka migogoro isiyo ya lazima.
Binafsi ukishaoa lazima mapenzi yapungue kwa Mama sababu ya majukumu ambayo Mama hawezi kukutimizia tena kwa hiyo
Mama 40% Mke 60%
Karibuni wajumbe