Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,517
- 2,945
Habari wanazengo!
Natumai nyote ni wazima wa afya naomba leo tuweze kujadili hii mada ndogo ambayo tuliweza kujibizana na watu lakin bado hatujapata majibu kamili labda hapa huwenda ikawa sehem sahihi.
Ila mada hii tuiangazie kwa upande wa upendo lakin si peiority kwa mzazi I I mean labda mfano imetokea ajali ambapo kwenye ajali hiyo yupo mzazi wako ambae ni Mama pamoja na mke wako au Mume wako je yupi wa kwanza kumuokoa na option ni moja ya kuchagua?
Narudia tena pindi utakapo jibu utoe jibu la msingi labda una muokoa mama kwanini mama? Then unamuokoa mke /mume why.
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai nyote ni wazima wa afya naomba leo tuweze kujadili hii mada ndogo ambayo tuliweza kujibizana na watu lakin bado hatujapata majibu kamili labda hapa huwenda ikawa sehem sahihi.
Ila mada hii tuiangazie kwa upande wa upendo lakin si peiority kwa mzazi I I mean labda mfano imetokea ajali ambapo kwenye ajali hiyo yupo mzazi wako ambae ni Mama pamoja na mke wako au Mume wako je yupi wa kwanza kumuokoa na option ni moja ya kuchagua?
Narudia tena pindi utakapo jibu utoe jibu la msingi labda una muokoa mama kwanini mama? Then unamuokoa mke /mume why.
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app