Kati ya mahakama na benki ni ipi ina wajibu wa kumkabidhi msimamizi wa mirathi pesa za marehemu alizoacha benki au SimuPesa?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Ikiwa marehemu kaacha pesa kwenye Akaunti ya bank au simu!

Je, ni wapi ambapo msimamizi wa mirathi atatakiwa kwenda kuchukua hizo pesa za marehemu?

Ni Benki au ni mahakamani?

Je, usahihi wa taarifa ukoje?
 
Mahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.


Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.

Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.

Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
 
Mahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.


Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.

Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.

Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
Ooh je usahihi wa pesa zinazotumwa mahakaman huwa uko wazi kiasi gani kwa msimamizi wa mirathi?
 
Ooh je usahihi wa pesa zinazotumwa mahakaman huwa uko wazi kiasi gani kwa msimamizi wa mirathi?

Mahakama haiwezi kuiba hela za marehemu.. hela hizo zina utaratibu mgumu sana sio rahisi kupotea hata mia..
Pia kama ni mjanja unaweza ukajua kiasi kilichopo kwenye account za marehemu. Kabla hata hakijaenda mahakamani kwa njia za magendo..
 
Mahakama haiwezi kuiba hela za marehemu.. hela hizo zina utaratibu mgumu sana sio rahisi kupotea hata mia..
Pia kama ni mjanja unaweza ukajua kiasi kilichopo kwenye account za marehemu. Kabla hata hakijaenda mahakamani kwa njia za magendo..
Bank hawawezi kukata pesa kwa madai ya kuwa marehemu alikuwa anadaiwa mkopo? Kwahiyo wakaifyeka na kupeleka mahakamani pesa pungufu?
 
Unaanza mahakamani

Mkiwa na barua ya uthibitisho wa kuteuliwa msimamizi wa mirarhi

Utaapa mahakamani

Utapewa barua upeleke

Bank
Simpesa
Pspf
Kwa mwajiri wa marehemu
LapF

N.k

Utasubiri ndani ya wiki 6 au 9.

Kama pesa pungufu rudi sehemu husika ulipopeleka ile barua ya mahakaman ikiwataka watoe hela uwaelezee ni pungufu

Ikiwa watagoma au kukuzungusha zaidi ya miezi 3+ urudi mahakamani.
Hapo sasa kwa mujibu washeria wahusika watapaswa watoe na fidia kwa mda waliochelewa kutoa pesa kwa siku husika.
 
Mahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.


Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.

Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.

Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
Mkuu sikuizi unaweka A/C yako msimamizi wa mirathi na sio A/C ya mahakama.
 
Mahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.


Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.

Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.

Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
Mkuu sikuizi unaweka A/C yako msimamizi wa mirathi na sio A/C ya mahakama.
Ooh kwahiyo sahivi wameboresha au?
Ndio ni moja kwa moj kwenye AC ya msimamizi wakishaweka watakupigia simu ucomfirm.
 
Mkuu sikuizi unaweka A/C yako msimamizi wa mirathi na sio A/C ya mahakama.

Ndio ni moja kwa moj kwenye AC ya msimamizi wakishaweka watakupigia simu ucomfirm.
Nilikwenda juzi kufuatilia BANK YA POSTA wakagoma kabisa hata kunipa Bank statements!
Sikuelewa kwanini wakati niliwaonesha barua ya kuteuliwa na mahakama pamoja mihutasari ya vikao!

Walidai sheria haiwaruhusu kudisplay information kwa mtu ambaye siyo mteja wao!
Wakaomba nirudi mahakamani nikawaletee Akaunti ya mahakama!
Halafu hakimu ndo atanipatia pesa kama zimo!
Nilihisi usumbufu
 
Nilikwenda juzi kufuatilia BANK YA POSTA wakagoma kabisa hata kunipa Bank statements!
Sikuelewa kwanini wakati niliwaonesha barua ya kuteuliwa na mahakama pamoja mihutasari ya vikao!

Walidai sheria haiwaruhusu kudisplay information kwa mtu ambaye siyo mteja wao!
Wakaomba nirudi mahakamani nikawaletee Akaunti ya mahakama!
Halafu hakimu ndo atanipatia pesa kama zimo!
Nilihisi usumbufu
Hela wanaingiza kwenye A/C ya mirathi ya Mahakama ndugu yangu.
 
Hela wanaingiza kwenye A/C ya mirathi ya Mahakama ndugu yangu.
Inakuwaje barua ya mahakama niliyopewa kutambulishwa kama msimamizi wa mirathi haikutaja A/C ya mahakama kama sheria ndivyo ilivyo!
 
Inakuwaje barua ya mahakama niliyopewa kutambulishwa kama msimamizi wa mirathi haikutaja A/C ya mahakama kama sheria ndivyo ilivyo!
Sio barua ya kuteuliwa usimamizi wa mirathi.

Ipo barua/form maalumu inaandikwa na kusainiwa na hakimu wako kumuamrisha meneja wa bank au mwajiri kutuma michango au haki zote za marehemu kwenye akaunti ya Mahakama.
 
Sio barua ya kuteuliwa usimamizi wa mirathi.

Ipo barua/form maalumu inaandikwa na kusainiwa na hakimu wako kumuamrisha meneja wa bank au mwajiri kutuma michango au haki zote za marehemu kwenye akaunti ya Mahakama.
Oohh
 
Mkuu sikuizi unaweka A/C yako msimamizi wa mirathi na sio A/C ya mahakama.

Ndio ni moja kwa moj kwenye AC ya msimamizi wakishaweka watakupigia simu ucomfirm.

Huo utaratibu umefanywa mwaka huu? Maana kuna mirathi jamaa yangu amefatilia hela zimewekwa account ya mahakama na ni mwaka huu
 
Huo utaratibu umefanywa mwaka huu? Maana kuna mirathi jamaa yangu amefatilia hela zimewekwa account ya mahakama na ni mwaka huu
Option zipo mbili

Either apewe msimamizi kabsa au ipitie mahakama,, japo mahakamani mzunguko wake ni balaa.
 
Back
Top Bottom