Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mabinti wanajua kwenda na kipindi sana, huwa wakishakariri kitu mpaka wanaboa yaani, hata kama cha ajabu.
Kuna mtindo siku hizi wa kuvaa miwani. Tuache wale wanaovaa kutokana na matatizo ya macho.
Kuna wengine wanavaa kama urembo lakini it's too much. Utakuta miwani mikubwa imeziba uso mzima. Hudiriki kujipigilia ya tinted siku hizi au ya rangi fulani ya kuwaka waka hivi.
Ukienda kulala nae mpaka unajistukia, maana hawavui.
Kuna mtindo siku hizi wa kuvaa miwani. Tuache wale wanaovaa kutokana na matatizo ya macho.
Kuna wengine wanavaa kama urembo lakini it's too much. Utakuta miwani mikubwa imeziba uso mzima. Hudiriki kujipigilia ya tinted siku hizi au ya rangi fulani ya kuwaka waka hivi.
Ukienda kulala nae mpaka unajistukia, maana hawavui.