Kati ya Kibaha mji Vs Halmashauri Kigamboni

KASULI

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
599
669
Wakuu poleni na majukumu.

Asubuhi Asubuhi kuna rafiki angu kanipigia simu kuniomba ushaurii katika mambo yafuatayo:-

Yeye ni mtumishi wa umma katika mamlaka zilizoundwa kisheria na upokea Ruzuku kutoka serikali kuu(TAMISEMI). Sasa baada ya kufanya kazi halmashauri ya manispaa Ilemela akataman kubadili mazingira na nia yake ya kwanza ilikuwaa kuhamia Jiji la Dar es Salaam angalau TEMEKE AU KIGAMBONI, akaanza mchakato wa kuomba nafasi akapata katika ile hatua ya kushugulikia barua ya KuhamA Ndo waziri mwenye dhaman akatangaza amesitisha uhamisho kwa muda usiojulikana.

Mungu si Maxmello akafanikiwaa kupata mtu wa kubadilishana nae, uhamisho wa kubadilishana wenyewe unaendelea kifupi unaruhusiwaaa, anayetarajia kubadilishana nae yuko Halmashauri ya mji KIBAHA.

SASA HOJA.

Unamshaurijeee kwa kuzingatiaa yafuatayoo.

1. Ugeni wa kuanzaa maishaa ukoo Dar na Pwani kifupi ugeni wa mjii, je, ahamie Kibaha Mji au asubiri Kigamboni

2. Huduma za jamii, na zile basic needs kwa mtu ambae anaenda kuanza maisha huko..mfno gharama za maisha, kwa maana ya vymba vya kupanga, vyakula, presha za mji na mengineyo....

3. Fursa za kibiashara, kwa kuzingatia Kigamboni, Temeke na Kibaha

Naomba Kuwasilishaaaa.
 
Aende kibaha. huduma zote za dar atazipata na bonus juu.
Kigamboni bado bado sanaa. inabebwa na kuwa ndani ya jiji.

mwisho kabisa,
kutoka kigamboni hadi kibaha ni buku jero nauli.
so, hata kama atakuwa na miradi huko kigamboni ataweza kuiendeleza bila shida.

akitulia na akiwa na maisha kibaha atatoboa miaka 6 hata 10 mbele kibaha itakuwa Manispaa.

kwa maelezo zaidi karibu Pm
 
Kwa vitu vingi tu tofauti na kigamboni the future is promising ka sehemu inayopanukia jiji la Dar es Salaam, tofauti na Kigamboni huo ndio ufafanuzi mrahisi ninaoweza kuusema
Asantee
 
ijategemea idara gan. ? ndio ungeshauriwa vizur.dar changamoto ni nkodi kama chumb sawa.ila nyumba bila 200mpka 250 hupat nyumb nzuri
 
Kama amepata Halmashauri ya Mji Kibaha nashauri aende huko. Kigamboni naijua na Kibaha naijua vema. Maana nimeishi Kigamboni kwa muda wa kutosha sana. Pia nimeshawahi kufanya kazi halmashauri ya mji Kibaha. Ila kama amepata Kibaha DC nashauri asubiri tu ya Kigamboni.
 
Kama amepata Halmashauri ya Mji Kibaha nashauri aende huko. Kigamboni naijua na Kibaha naijua vema. Maana nimeishi Kigamboni kwa muda wa kutosha sana. Pia nimeshawahi kufanya kazi halmashauri ya mji Kibaha. Ila kama amepata Kibaha DC nashauri asubiri tu ya Kigamboni.
Mkuuu ufafanuziii kidogoo
 
Kama amepata Halmashauri ya Mji Kibaha nashauri aende huko. Kigamboni naijua na Kibaha naijua vema. Maana nimeishi Kigamboni kwa muda wa kutosha sana. Pia nimeshawahi kufanya kazi halmashauri ya mji Kibaha. Ila kama amepata Kibaha DC nashauri asubiri tu ya Kigamboni.
Ni halmashauri ya Mji kibahaa
 
Mkuuu ufafanuziii kidogoo
Samahani mkuu, kitu gani labda unataka nikufafanulie!?
Lakini jambo moja ninaloweza kusema ni nafuu kwake kufanya kazi na kuishi Kibaha hasa katika Halmashauri ya Mji Kibaha kuliko Kigamboni. Halmashauri hizi mbili nazifahamu vema. Lakini kubwa na la muhimu ni kwamba Mji wa Dar unatanuka kuelekea Kibaha.
Lakini pia ni kwamba watu wengi wanaishi Kibaha na kufanya kazi Dar. Kibaha is growing kwa sababu wageni wengi wameshaingia tofauti na miaka ya zamani
 
Samahani mkuu, kitu gani labda unataka nikufafanulie!?
Lakini jambo moja ninaloweza kusema ni nafuu kwake kufanya kazi na kuishi Kibaha hasa katika Halmashauri ya Mji Kibaha kuliko Kigamboni. Halmashauri hizi mbili nazifahamu vema. Lakini kubwa na la muhimu ni kwamba Mji wa Dar unatanuka kuelekea Kibaha.
Lakini pia ni kwamba watu wengi wanaishi Kibaha na kufanya kazi Dar. Kibaha is growing kwa sababu wageni wengi wameshaingia tofauti na miaka ya zamani
Asanteee Sanaaaa
 
Wakuu poleni na majukumu...

Asubuhi Asubuhi kuna rafiki angu kanipigia simu kuniomba ushaurii katika mambo yafuatayo:-

Yeye ni mtumishi wa umma katika mamlaka zilizoundwa kisheria na upokea Ruzuku kutoka serikali kuu(TAMISEMI). Sasa baada ya kufanya kazi halmashauri ya manispaa Ilemela akataman kubadili mazingira na nia yake ya kwanza ilikuwaa kuhamia Jiji la Dar es Salaam angalau TEMEKE AU KIGAMBONI, akaanza mchakato wa kuomba nafasi akapata katika ile hatua ya kushugulikia barua ya KuhamA Ndo waziri mwenye dhaman akatangaza amesitisha uhamisho kwa muda usiojulikana.

Mungu si Maxmello akafanikiwaa kupata mtu wa kubadilishana nae, uhamisho wa kubadilishana wenyewe unaendelea kifupi unaruhusiwaaa, anayetarajia kubadilishana nae yuko Halmashauri ya mji KIBAHA...

SASA HOJA....

Unamshaurijeee kwa kuzingatiaa yafuatayoo....

1. Ugeni wa kuanzaa maishaa ukoo Dar na Pwani kifupi ugeni wa mjii, je, ahamie Kibaha Mji au asubiri Kigamboni

2. Huduma za jamii, na zile basic needs kwa mtu ambae anaenda kuanza maisha huko..mfno gharama za maisha, kwa maana ya vymba vya kupanga, vyakula, presha za mji na mengineyo....


3. Fursa za kibiashara, kwa kuzingatia Kigamboni, Temeke na Kibaha

Naomba Kuwasilishaaaa......
Kibaha ni pazuri pale atakuwa anakula tunda kimasihara
 
Back
Top Bottom