profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,484
- 3,127
kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.
Nilichukua hii kitu sema ilikua saizi 14 nikakaa nayo 3 years nauza gari bado zpo poa.Chukua good ride
Njoo nikuuzie Goodride mkuukati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15...
Goodride zenyewe zimesimama kwa ngapi?Njoo nikuuzie Goodride mkuu
Bei hiyo hiyo tuGoodride zenyewe zimesimama kwa ngapi?
sio tairi tu,vifaa vya umeme vimepanda hatari,hasa cables..Tairi kwa sasa Zimepanda sana Bei....Serikali Iangalie Hili Jambo la Tairi Kupanda Bei.
unapatikana wapi mkuu,na zimetengenezwa mwaka gani mkuu...Njoo nikuuzie Goodride mkuu
Napatika kariakoo 0626 799 329unapatikana wapi mkuu,na zimetengenezwa mwaka gani mkuu...
unapatikana wapi mkuu,na zimetengenezwa mwaka gani
Mwamba angekuepo angetusaidia dahsio tairi tu,vifaa vya umeme vimepanda hatari,hasa cables..
ntakutafuta,tuyajenge mkuu...Napatika kariakoo 0626 799 329
Sawa mkuuntakutafuta,tuyajenge mkuu...
Mitano tenaTairi kwa sasa Zimepanda sana Bei....Serikali Iangalie Hili Jambo la Tairi Kupanda Bei.
Chukua linglong hayo mengine kifafa sifa ya linglong mpaka tyre inaisha na kuwa kipara haitokuwa na shida hayo mengine hayakawii kuvimba na good ride ni tatizo.kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.
sasa mkuu kati ya linglong na good ride ipi ni imara?mimi sio mzoefu sana wa tairi...Chukua linglong hayo mengine kifafa sifa ya linglong mpaka tyre inaisha na kuwa kipara haitokuwa na shida hayo mengine hayakawii kuvimba na good ride ni tatizo.
linglong ni nzuri zaidisasa mkuu kati ya linglong na good ride ipi ni imara?mimi sio mzoefu sana wa tairi...
Huko hamna Continental wala Michelin siyo?kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.