michael western
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 545
- 258
Haya majeshi makubwa nchini Tanzania ni jeshi lipi linamzidi mwenzake kiujuzi,mazoezi,kuwa na wasomi wengi,mishahara,na mengineyo!
Je vyeo vyao vinafanana?
Je kwa maswala ya mafunzo wanaingiliana kama wataalam wa JWTZ kufundisha kwenye JKT na wa JKT kufundisha JWTZ?
Ni jeshi gani hapo lina silaha za maana zaidi kuliko mwenzake na kupewa kipaumbele?
Wenye ufahamu kuhusu hili naomba tujadili!
Je vyeo vyao vinafanana?
Je kwa maswala ya mafunzo wanaingiliana kama wataalam wa JWTZ kufundisha kwenye JKT na wa JKT kufundisha JWTZ?
Ni jeshi gani hapo lina silaha za maana zaidi kuliko mwenzake na kupewa kipaumbele?
Wenye ufahamu kuhusu hili naomba tujadili!