Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 588
Acha utani
Acha utani
Hutaki basiAcha utani
Jesus si ni wapelelezi tu wengine wamechukuliwa kutoka greenguard tu, wengine scouts, wengine vyuoni, wengine waajiriwa selikari za mitaa, wengine serikali kuu, wengine ktk vyombo ya ulinzi na wengine sasa ndo makomandoo. Hata mm na ww twaweza kua majasus ni mafunzo tu na sheria. Ila mm na ww hatuwez kua makomandoo Kwa sasa.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to the Almighty. Leo swali langu ni kama hivi;
Kati ya Jasusi na Commando, yupi ni mtu hatari sana anayepaswa kuogopwa?
Nimeuliza hivyo kwa maana kwamba inasemekana hawa wote wawili wanakuwa ni watu waliopitia mafunzo magumu sana ya uvumilivu (endurance), matumizi ya silaha pamoja na kujilinda (self-defense).
Kuna baadhi ya watu wanadai Jasusi anatumia akili nyingi na nguvu kidogo wakati Commando anatumia nguvu nyingi na akili kidogo.
Ni nani mtu hatari sana kumzidi mwenzake?
Jasusi na commando ni mtu mojaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to the Almighty. Leo swali langu ni kama hivi;
Kati ya Jasusi na Commando, yupi ni mtu hatari sana anayepaswa kuogopwa?
Nimeuliza hivyo kwa maana kwamba inasemekana hawa wote wawili wanakuwa ni watu waliopitia mafunzo magumu sana ya uvumilivu (endurance), matumizi ya silaha pamoja na kujilinda (self-defense).
Kuna baadhi ya watu wanadai Jasusi anatumia akili nyingi na nguvu kidogo wakati Commando anatumia nguvu nyingi na akili kidogo.
Ni nani mtu hatari sana kumzidi mwenzake?
Bora yakoJesus si ni wapelelezi tu wengine wamechukuliwa kutoka greenguard tu, wengine scouts, wengine vyuoni, wengine waajiriwa selikari za mitaa, wengine serikali kuu, wengine ktk vyombo ya ulinzi na wengine sasa ndo makomandoo. Hata mm na ww twaweza kua majasus ni mafunzo tu na sheria. Ila mm na ww hatuwez kua makomandoo Kwa sasa.
Unajua ulichokiandika mkuu?#jasusi ni Comando aliyepew ujuzi wa kupata taarifa mbalimbali kuhusu aspect yeyote MF kiuchumi,kisiasa,na hata private secret za viongoz wakubwa,Mara nyingi majasusi huwa na elimu kubwa ya #saikologia kwa akili ya kumhadaa mtu wanaemtaka,Mara nying jasusi anaweza hata kuwa muuza karanga huku akijua anachokitafuta,hawa kazi yao kubwa ni kufanya upelelezi wa kina na kukusanya taarifa muhim,wanakuwa na mbinu za kikomando pia maana kuna sehem itawalazimu watumie nguvu kupata taarifa Fulani,#comando huyu ni mtu aliyepewa mafunzo ya grade ya Juu ya kijeshi,hawa mara nying hutumiwa kutekeleza Yale yaliokusanywa na jasusi kwa luga nyepesi Comando ni mtekelezaji wa taarifa ya jasusi,comaando Mara nyingi kazi yake n mwanafunzi wa jasusi
Chief mbona hutaki kutia neno huku?
Good Bro. watu wanachanganya. Jasusi ana mafunzo ya kufika sehem, kuzijua, kukusanya, kuzificha na kuzifikisha taarifa muhimu zinazotakiwa na idara husika. jasusi anaweza kuwa mwanasiasa, muuza pipi, padre, sheikh, mchungaji, askari au hata mwanafunzi. Ila tu anatakiwa kuwa na sharp mind na mwepesi wa kugundua hatari anaposhtukiwa. mfano hai ni kuwa mabalozi weng (asilimia kubwa) na wafanyakaz (maafisa ubalozi) wa ubalozi wanaowakilisha nchi zao katika vituo walivyopangiwa ni majasusi. Komando lazima awe askari wa jeshi husika aliyekwiva kimafunzo na aliye tayari kufanya mission yoyote iwe ya ulinzi, uokoaji, utekaji au kuingilia shambulio na kulizima. anaweza pia kutumiwa kama jasusi. Mfano wa nakomandoo maarufu wanaofahamika na wengi ni Navy Seals Team Six kutoka Jeshi la Marekani, hawa ni maalumu kwa mashambulizi ya mwisho baada ya majasusi kufanya kaz yao, wanajiografia kufanya kaz yao na kupeleka report zao then Navy Seals wanavamia, mfano uvamizi uliofanywa na Navy Seals kwa Osama ambapo walienda Makomandoo 45 tu wa Navy Seals wakiwa na rubani wa helkopta kutoka kitengo cha helkopta cha Night Stalkers.Jasusi unaweza kua hata ww kama nchi husika au idara ya ujasusi itakuona unaweza kupenya vizuri na kufanya kazi (kukusanya taarifa etc) flan ambayo mtu mwingine itamuia vigum. Kwamfano, ni rahisi Kardinali Pengo kutumwa kama Jasusi Vatican kuliko umtume mtu wa Kawaida
Lakini Komando ni mtu hatari, mwenye mafunzo na anatumika kwenye mission zinazohitaji kuapply skills na force
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mchimba chumvi tu huo mjadala kwake ni mkubwa sanaChief mbona hutaki kutia neno huku?
RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT
Katika tukio la kifo lililotokea majuzi kule Arusha likimuhusisha mwanamke(marehemu)na askari wa JWTZ. Wakati RPC wa Arusha anaongea na waandishi wa habari alitoa kauli ambayo alisema kuwa ktk vyeo vya JWTZ anayemzidi kwa cheo ni Brigedia Jenerali kwenda juu!! Najiuliza ulinganifu huu...www.jamiiforums.com