Kati ya Jasusi na Commando, yupi ni mtu hatari sana anayepaswa kuogopwa?

Jasusi ni mtu anayefanya kazi ya upelelezi nje ya nchi yake kwa niaba ya nchi yake

Lakini

Komandoo ni mwanajeshi aliyefunzwa mbinu za kupambana na mazingira magumu kama vile uokoaji au upelelezi.
IMG-20190306-WA0049.jpeg
 
Kuna tofauti kubwa kati tya JASUSI na KOMANDO. Jasusi ni mtu aliyefundishwa kukutafuta, kuchambua, kuandika, kutathmini taarifa za kiusalama. Pili kuzitumia taarifa za kiusalama kwa manufaa ya mfadhili wake. Ni kazi inayohitaji uwezo mkubwa wa akili ili kujua taarifa ipi ni ya kiusalama na yenye faida kwa mfadhili na nchi. Uwezo wa kuzitumia kwa manufaa na nani anafaa kutumiwa kwa kujua au kutojua.

Komando ni mtu aliyepitia mafunzo maalum (ndo maana USA wanaitwa WANAJESHI MAALUM - Special Force). Kazi yake kuu ni kufanyakazi ngumu zinazohitaji taaluma maalum. Mara nyingi huenda sehemu wakiwa tayari na taarifa kamili toka kwa Jasusi!

Komando lazima mafunzo yawe magumu (physically) ilhali kwa Jasusi sio lazima. Mafunzo ya Jasusi ni magumu (Mentally) ilhali Komando hapana. Jasusi anafundishwa tu kujimudu kutoka msombweni pindi mambo yakichacha. Komando ni ufunguo wa kuyafungua matatizo.

Naamini Nimeeleweke

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jasusi ni hatari sana
maana mbinu za ujasusi zina beba mpaka ukomando.
majasusi wengi ni vitengo ambavyo vinakuwa vinapata mafunzo ya kila idara.ukilinganisha na komando anakuwa napita idara ya za upambanaji sana.
majasusi wengi unakuta ndio wanao ongoza makomando kwenye kazi.
respect ericko nyerere
ujasusi wa kidola
 
Jasusi kwasababu hawa uwa wanachaguliwa hata kutoka katika makomandoo ila sema upewa mafunzo zaidi. Jasusi unaweza kuta ana skills lukuki.

Ukitaka kuelewa vizuri angalia real adaptation za JAMES BOND. Bond ni Commando kwa cheo lakini according to the novel amejifunza ujuzi zaidi kuwa jasusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyi jasusi yerick nyerere pia ni komandoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila Commando ni Jasusi lakini kila Jasusi ni Commando. Nadhani ushapata jibu lako hapo.
Sio kila jasus ni commando. Ndani ya mashirika ya ujasusi kuna kuwa na vikosi maalum kwa ajili ya kazi za hatari.. na wote ndan ya hivyo vikosi ni former special forces.

Lakin idara nyingine zinabakia wenye mafunzo ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote wanategemeana, mara nyingi komando anapoingia kazini anaenda kukamilisha kazi iliyoanzwa kufanywa na jasusi kwa maana ya kwamba komando hawezi kuenda kazini bila ya kuwa na taarifa za kutosha kuhusu eneo, watu, vifaa nk. taarifa ambazo anakusanya jasusi na ndizo zitamuwezesha komando kufanya operation husika kwa ukamilifu...Wote ni noma
 
jasusi ni hatari sana
maana mbinu za ujasusi zina beba mpaka ukomando.
majasusi wengi ni vitengo ambavyo vinakuwa vinapata mafunzo ya kila idara.ukilinganisha na komando anakuwa napita idara ya za upambanaji sana.
majasusi wengi unakuta ndio wanao ongoza makomando kwenye kazi.
respect ericko nyerere
ujasusi wa kidola
Si kweli kuwa kila jasusi anapitia mafunzo ya ukomando.
Ni idara moja au mbili tu ndio zinaweza kuwa na watu wa aina hiyo. Wengine wote hupitia mafunzo ya kawaida.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broo Infantry soldier Hamna mtu mbaya kama Jasus, sina namna ya Kuelezea lkn Jasus is extraordinary hasa hasa ukiaja na mitazamo ya Threat ambazo anaweza kusababisha, Maana majasusi mostly effects zao huwa zipo kidplomatic haswa, anaweza kuhatarisha hata usalama Wa inchi, any way Agents ar even more extraordinary compared to Commander's

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali mengine yanabainisha IQ ya anayeuliza na wanaojibu.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Back
Top Bottom