Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 3,938
- 3,211
Nipo Iringa Mjini, naona huu mji unakuwa kwa kasi, mara ya mwisho nilikuja hapa 2016, kwa miaka 3 tu!! Naona mabadiliko sana.
Miji ya kusini inaendelea sana.
Kwa wadau wazoefu.
Ukilinganisha huu mji wa Iringa na mji wa Moshi, wapi panakua zaidi? Katika nyanja za majengo mazuri na barabara nzuri!!
Picha za Iringa zitafuata.
Miji ya kusini inaendelea sana.
Kwa wadau wazoefu.
Ukilinganisha huu mji wa Iringa na mji wa Moshi, wapi panakua zaidi? Katika nyanja za majengo mazuri na barabara nzuri!!
Picha za Iringa zitafuata.