Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Wadau nataka kufunga umeme wa jua Nyumbani, Naombeni ushauri na uzoefu wenu kati ya hizi kampuni mbili Zola Tanzania na Mobisol Tanzania ipi nzuri na bora kwa vifaa vyake.
ZOLA wanamitambo ya WATT 40 mpaka 100 NA MOBISOL ni WATT 40 mpaka 200.
NIJIUNGE KAMPUNI GANI KATI YA HIZI?
ZOLA wanamitambo ya WATT 40 mpaka 100 NA MOBISOL ni WATT 40 mpaka 200.
NIJIUNGE KAMPUNI GANI KATI YA HIZI?