Chasingo de Lover
Member
- Feb 9, 2017
- 23
- 12
Kamati zote mbili teule zimetoa taarifa kwamba ACACIA wamekuwa wanafanya udanganyifu kwenye uwekezaji wao katika madini hapa Tanzania lkn Mh. Lisu anatetea kwa nguvu na akili zote kuwa ACACIA wako sahihi. Tunaomba wanasheria mtusaidie hili!