GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,441
Je ukikutana na Mke wa Mtu Gesti / Loji ambaye mnajuana ' Kindakindaki ' akiwa anaenda Kuliwa ' Uroda ' na Mwanaume mwingine ( Hawara ) huku Mumewe ukiwa unamjua vyema tu..
1. Ukamwambie Mumewe ili amchukulie Hatua kama za Kumuacha au Kumchinja au Kumpiga Kishalubela / Kikatili kiasi cha Kumtengua Mikono, Miguu na Kuondoa kabisa na Kolomero lake huku akimtenganisha Viungo vyake vyote vya Mwilini?
au
2. Unyamaze ( Uuchune ) tu usimsemee kwa huyo Mumewe na Wewe umwombe ' Penzi ' lake ili nawe uwe unamla tu ' Kisela ' na maisha yaende?
Ukweli ni kwamba nimetoka Kulala Gesti na Demu wangu asubuhi hii hii ya leo na sijaamini kabisa macho yangu wakati Mimi natoka nimepishana na Mke wa Rafiki yangu wa karibu kabisa akiwa anaingia kuliwa ' Uroda ' na Mwanaume mwingine kabisa na kinachoniuma zaidi nimefika Nyumbani ambako siyo mbali pia kwa huyo Jamaa nimemkuta anaosha Vyombo huku anapika Chai yake na nikamuuliza Shemeji ( Mkewe ) yuko wapi kasema ameenda kwa Mama yake mdogo anaumwa huko Mbagala Kuu.
Ndiyo maana sitaki Kuuoa kabisa. Hivi Wanawake mna ' Wadudu ' gani Vichwani mwenu? Kwanini hamridhiki? Mnataka Wanaume wawafanyieni nini labda ili mtulie na Ndoa zenu? Mmerogwa na nani nyie Dada zetu? Hivi humo Mioyoni mwenu mna hata hofu ya Mungu kweli?
Nawasilisha.
1. Ukamwambie Mumewe ili amchukulie Hatua kama za Kumuacha au Kumchinja au Kumpiga Kishalubela / Kikatili kiasi cha Kumtengua Mikono, Miguu na Kuondoa kabisa na Kolomero lake huku akimtenganisha Viungo vyake vyote vya Mwilini?
au
2. Unyamaze ( Uuchune ) tu usimsemee kwa huyo Mumewe na Wewe umwombe ' Penzi ' lake ili nawe uwe unamla tu ' Kisela ' na maisha yaende?
Ukweli ni kwamba nimetoka Kulala Gesti na Demu wangu asubuhi hii hii ya leo na sijaamini kabisa macho yangu wakati Mimi natoka nimepishana na Mke wa Rafiki yangu wa karibu kabisa akiwa anaingia kuliwa ' Uroda ' na Mwanaume mwingine kabisa na kinachoniuma zaidi nimefika Nyumbani ambako siyo mbali pia kwa huyo Jamaa nimemkuta anaosha Vyombo huku anapika Chai yake na nikamuuliza Shemeji ( Mkewe ) yuko wapi kasema ameenda kwa Mama yake mdogo anaumwa huko Mbagala Kuu.
Ndiyo maana sitaki Kuuoa kabisa. Hivi Wanawake mna ' Wadudu ' gani Vichwani mwenu? Kwanini hamridhiki? Mnataka Wanaume wawafanyieni nini labda ili mtulie na Ndoa zenu? Mmerogwa na nani nyie Dada zetu? Hivi humo Mioyoni mwenu mna hata hofu ya Mungu kweli?
Nawasilisha.