The Africans, by David Lamb!View attachment 1028590
Mstari wa nyuma kuanzia kushoto nimemtambua Obote, Nyerere, na Kaunda
Mstari wa mbele kutoka kushoto Bokhasa, Haile Selassie , Kenyatta na Mobutu
Wengine ninaomba msaada.
Ninafahamu hapo yupo Augustino Neto wa Angola,
Vision ya Nyerere ilikuwa kuingunisha Afrika kama muungano wa North America. Aliona umoja ndiyo utakaoleta maendeleo.The Africans, by David Lamb!
Wote hao wameziacha nchi zao katka lindi la ufukara! Walikuwa wanafanya nini?
We bado unawaza propaganda hizo??Vision ya Nyerere ilikuwa kuingunisha Afrika kama muungano wa North America. Aliona umoja ndiyo utakaoleta maendeleo.
Alitumis resources nyingi katika ukombozi wa bars la Afrika. Siasa za ujamaa hazikuleta tija pai vita ya Kagera iliturudisha nyuma sana.
Mbona huyo aliye kushoto kwa Dr.Ken Kaunda,mwenye miwani na tabasamu mwanana,ni kama Tundu Lissu?View attachment 1028590
Mstari wa nyuma kuanzia kushoto nimemtambua Obote, Nyerere, na Kaunda
Mstari wa mbele kutoka kushoto Bokhasa, Haile Selassie , Kenyatta na Mobutu
Wengine ninaomba msaada.
Ninafahamu hapo yupo Augustino Neto wa Angola,
Nilifikiri ni Augustinho Neto wa Angola lakini wakati Neto anaingia madarakani mwaka 1974, Obote alikuwa Tanzania kama mkimbizi wa kisiasa.Mbona huyo aliye kushoto kwa Dr.Ken Kaunda,mwenye miwani na tabasamu mwanana,ni kama Tundu Lissu?
Hata hivyo,nichukue fursa hii kumtakia maisha H.E Dr.Kaunda.Huyu alikuwa mmoja wa Marais wacha Mungu na mtu-wa-watu,kama alivyo H.E Alhaji Mwinyi,na si ajabu Mwenyezi Mungu kawatunuku maisha marefu (though si lazima kwamba ukiwa mtu mwema ndo utaishi maisha marefu,na kinyume chake).
Salim Ahmed Salim hayupo hapo?Ninadhani ni wakati wa mkutano huu wa OAU ndipo Milton Obote wa Uganda alipunduliwa. Hii picha ni ya mwaka 1972.
Mobutu na Nyerere hawakuwahi kuiva kabisa.
Sankara and Lumumba hawa ndo walikuwa majembe sasa...hivi Compore bado yuko hai? si ndo mshukiwa wa kwanza kwa Sankara murderous assault?
Comporr yupo Ivory Coast baada ya kupinduliwa 2014Sankara and Lumumba hawa ndo walikuwa majembe sasa...hivi Compore bado yuko hai? si ndo mshukiwa wa kwanza kwa Sankara murderous assault?
Sent using Jamii Forums mobile app
No uyu si wananchi walimshtaki na nakumbuka kama alikamatwa kipindi kile ama?
He was very young by the time, probably hatokuwepo
Hapana alitorokea Ivory coast kabla hajakamatwaNo uyu si wananchi walimshtaki na nakumbuka kama alikamatwa kipindi kile ama?
Sent using Jamii Forums mobile app