Kati ya hawa nani msahaulifu zaidi?

Pindima

JF-Expert Member
Aug 16, 2011
347
81
Kati ya hawa nani msahaulifu
zaidi???????????????? 1: alikuwa anakula huku anagonga
gonga meza mara akaacha na kuitikia
"ingia mlango upo wazi PITA TU" 2: alikuwa anacheka akatokwa na
machozi ya furaha lakini ghafla akasahau
na kujiuliza alikuwa anacheka au analia 3: alikuwa anapandisha ngazi mara simu
ikaita akasimama na kupokea lakini
alipomaliza kuongea na simu akawa
anajiuliza kama alikuwa anapanda au
anashuka.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom