kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Nimeona na kusiki mwandishi mmoja katika kikao chao walichofanya hapo Morogoro akitamka kuwa Waziri mwenye dhamana wa mambo ya ndani katamka kuwa marehemu ameuliwa na Bomu la machozi lililokuwa alijasetiwa vizuri, na huku RPC akisema imetokana na kitu kinachodhaniwa ni bomu kutoka kwa wananchi.
My take
1. Waziri hadi anatoa tamko alipewa na nani hizo taarifa?na kwa nini zinatofautiana na RPC?
2. Tumeona kwenye picha jinsi kikundi cha polisi walivyokuwa wamemzunguka marehemu je kama ni bomu kutoka kwa wananchi hao polisi wangesalimika kiasi hicho?
3. Aliyeunda tume inayokwenda kuchunguza ni nani wakati waziri amekwisha tamka ni bomu la machozi lisilosetiwa vizuri au Polisi mnataka kuendeleza usanii wenu
4. Kama ni polisi aliyefyatua bomu hilo kulingana na kauli ya waziri na kusababisha mauaji hayo waziri anaweza kuueleza umma huyo polisi yuko wapi kwa sasa hatua gani zime/zinatarajiwa kuchukuliwa dhidi yake?
My take
1. Waziri hadi anatoa tamko alipewa na nani hizo taarifa?na kwa nini zinatofautiana na RPC?
2. Tumeona kwenye picha jinsi kikundi cha polisi walivyokuwa wamemzunguka marehemu je kama ni bomu kutoka kwa wananchi hao polisi wangesalimika kiasi hicho?
3. Aliyeunda tume inayokwenda kuchunguza ni nani wakati waziri amekwisha tamka ni bomu la machozi lisilosetiwa vizuri au Polisi mnataka kuendeleza usanii wenu
4. Kama ni polisi aliyefyatua bomu hilo kulingana na kauli ya waziri na kusababisha mauaji hayo waziri anaweza kuueleza umma huyo polisi yuko wapi kwa sasa hatua gani zime/zinatarajiwa kuchukuliwa dhidi yake?