Nimechagua kozi, say fifth choice, lakini nina div 1. Mwingine akachagua kozi hiyo hiyo ikiwa ya kwanza (first choice) ana div. 2. Kati ya hawa nani atapewa kipaumbele.
My thinking ni kuwa kama nyote mmechagua kozi moja mkaipa first choice, wataangalia aliye na ufaulu mkubwa. Kuna vitu hapa vinachanganya
My thinking ni kuwa kama nyote mmechagua kozi moja mkaipa first choice, wataangalia aliye na ufaulu mkubwa. Kuna vitu hapa vinachanganya