Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Kwanini ye ni mjingaDuh!!,wewe ni mjinga haijawai kutokea
Ujinga wangu upi mmoja hapo ni muigizaji na mwingine ni muimbajeDuh!!,wewe ni mjinga haijawai kutokea
Mjinga ni ww coz unaamini ujinga,huyo herufi B kakuaminisha ujinga.Duh!!,wewe ni mjinga haijawai kutokea
Haya bwanaMjinga ni ww coz unaamini ujinga,huyo herufi B kakuaminisha ujinga.
Kweli kabisausimfananishe diamond na vitu vya kijinga.
Lakini shida ya huyo msanii B nasikia ni chambo sana.Hiyo B ninoma,maana kawafanya watu na akili Zao timamu kumuona kama mungu.
Lakini shida ya huyo msanii B nasikia ni chambo sana.
chambo sio kuliwa wewe.Hizi lugha mnatuacha sie tuliokula chumvi mkuu. Hilo neno chambo ni msamiati mpya ama...?
Na limetumika kama nini hapo una maana analiwa si ndio...?
chambo sio kuliwa wewe.